Vigezo gani vinatumika, mtu kuchaguliwa UDOM au UDSM?

Makoye thomas

Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
30
Reaction score
4
Kuna rafiki yangu kapata division two pt 9 mwaka huu combination ya PCM, mimi nilimshauri katika selection zake aanze na UDSM kwani matokeo yake siyo mabaya. Yeye amepata B plain kwa masomo yake yote yaani physics, chemistry & mathematics.

Lakini kabla hajaenda kufanya selection akaomba ushauri kwa jamaa mwingine anayesoma St Joseph university akamwambia matokeo yake siyo mazuri sana hivyo hata meet competition ya UDSM akamshauri first choice aombe UDOM then ndo aombe UDSM.

Vp probability ya kuchukuliwa UDOM au UDSM ipo vp hapo wadau?
 
Ni woga wake tu....angeanza na UD. Hata. Angepata.....sasa kwa hapo Ni kupelekwa. UDOM. Moja kwa moja..
 
Hapo udom inamuita tu, karbu udom brada ule bata la udom
 
Kumbe watu wanakua wanaipenda UDSM from the beginning lakini wakishatemwa na kuchaguliwa vyuo vyengine ndio wanaanza kusema UDSM hamna kitu.kwangu mimi UDSM na SUA ndio namba one hata kama nasoma ardhi coz kinatutoa kimasomaso Africa na dunia kwa ujumla
 
Udom bata chuo c kukomoana km vyuo vingine japo msul upo wa kutosha brada
 
ndo tatizo la kusikiliza ya watu ikumbukwe kuwa tcu huangalia chagulio la 2,3,4 na la5 endapo tu plots za chaguo la kwanza zimejaa.,yani huyo jamaa ni udom moja kwa moja
 
Amebugi kweli. Kama ni engineering kachemka! Hapo aandae na nauli ya Dodoma kabisaa.
 
Hahahaha kijana kajichimbia kaburi na kujizika mzima mzima, yani div II-9 unashindwa kuaply UDSM then unachagua UDOM?!

Nyerere square panakuita aiseee...
 
Hakika humu ndan kuna mapepo!UDOM sik hiz kuna kula bata? mi naingia mwaka wa tat ukija UDOM ,utatweleza kitab tait sana
 
Wasikupotoshe kuhusu UDOM!Ni chuo kzr,Pia UDOM competition ni kubwa sana,bcz ada sikubwa,kama vyuo vya privet,karib sana
 
Kijana karib UDOM hujabugi,ukifika utakir mwenyewe chuo kzr,Wanaoielezea udom,wengine hata hawaijui au waliomba wakamis
 
Kijana karib UDOM hujabugi,ukifika utakir mwenyewe chuo kzr,Wanaoielezea udom,wengine hata hawaijui au waliomba wakamis


Yani tu kama umejua kuna mdada mmoja yupo IAA diploma sasa akaniuliza umechagua vyuo gani??...nikamwambia chaguo la kwanza na la pili ni UDOM sasa akasema sikipendi UDOM nikamuuliza kwanini?? Akasema oih My Bro n Sisters wameniambia kuwa sio kizuri. Halafu sasa cha kuchekesha hapo. Kati ya hao ndugu zake hamna hata ambae anasoma UDOM nikasema. Daah watu wana chuki binafsi tu ....
 
Nilitembea Udom 2009 ndo nilikuja hapo Chuo kilikuwa bado kinajengwa wakati huo nasoma diploma. Ukweli ni kuwa kama umekata tamaa ya kusoma basi shawishika utie mguu UDOM. Bonge la chuo, vijana wanapitapita kama haukuwa na mpango wa kusoma utaomba muda wa aplication ufike. pia ukiwa mwaka wa tano (f5) utatamani ufanye vizuri uende UDOM. sema TCU kwa sasa wanaziba ndoto za watu kwa kuwachagulia vyuo. Elimu ni elimu tu. mahali ulipo ipatia si tatizo kwani mbona tunao mambulula kibao wamesomea shule za STs wakati wapo walio soma chini ya mti wanafanya wonders. Eti UDSM, SUA sijui wapi wewe shika elimu tu. vijana wametoka shule mziitazo za kata wanafanya mambo makubwa na nyie wa mkandawile mpo tu mnavaa mlege.
 
Kwani wewe hujui UDOM kama ni chuo cha hadhi ya kimataifa,ogopa sana,ni afrika mashariki na kati that is the biggest hile ni white house.watoto wazuri udom,wakila haina,majengo udom,elimu udom.UDOM MZAZI NOMA MIMI MWENYEWE TCU NIMEKIPA KIPAUMBELE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…