Shafii Dedan
Senior Member
- May 19, 2014
- 121
- 27
Ingia www.out.ac.tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe nina haja nayo, iliyopo website siielew kabisaHabari wakuu, tafadhali naomba mwenye namba za chuo cha KILIMANJARO COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE kilichopo pale moshi anipatie.
Inawezekana ukichagua vyuo vidogo vidogo vya Mikoani, Wahi Round ya pili iko open sasa. Usipobagua mazingira ukosi chuo.Kwa matokeo haya,naweza kupata chuo kusoma clinical officer?
KISWAHILI-D
GEOG-D
HISTORY-D
B/MATHS-D
CIVICS-C
CHEMISTRY-D
PHYSICS-C
BIOLOGY-C
ENGLISH-C
Enterpreneurship, uanishe biashara yako na kuajiri wengine, zingine zote utakuta unataka kuajiriwa, soma ukaajiri watu.Naomba msaada wa kozi gani marketable chuo Cha kati kwa binti mwenye matokeo haya kidato Cha nne. Division 4 ya points 27
CIV - 'C' HIST - 'F' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
Unahitaj kusomo nini na wapi?Samahani wakuu Nina division 4 ya 26. EngD geogD civicsC kiswC bioD history D mathF
Eleza Haja yako ushauriwe sasaWakuu me nimemaliza kidato cha 4 mwaka jana. Nimepata division 3.24 ambapo CIV-C KIS-B ENG-D GEO-D HST-D MATH-F CHEM-D BIOS C Hapo naweza kusomea IT
Biology na English zitamsaidia kama ataenda kusoma CHUO CHA TAIFA CHA UTALII, asomee hotel management and Catering, kipo pale IFM ila ajichunge sana asiwe jamvi la wageni kama wenzake walivyo, then , atamaliza na kuajiriwa Kilimanjaro kwenye utalii,:akipaa uzoefu wa miaka miwili naye afungue mghahawa wake aajiri wengine na baadae atamiliki hoteli kubwa ya kitalii;Unahitaj kusomo nini na wapi?
Serious, Na huo mlolongo kama unahitaji mbongo nene asee yaani ni zaid ya elimu hiyo ni akili ya Biashara kabisa.Biology na English zitamsaidia kama ataenda kusoma CHUO CHA TAIFA CHA UTALII, asomee hotel management and Catering, kipo pale IFM ila ajichunge sana asiwe jamvi la wageni kama wenzake walivyo, then , atamaliza na kuajiriwa Kilimanjaro kwenye utalii,:akipaa uzoefu wa miaka miwili naye afungue mghahawa wake aajiri wengine na baadae atamiliki hoteli kubwa ya kitalii;
Unaweza kubadilisha somo kwenye stashahada maalumu ya ualimu wa masomo uliyopangiwa chuo cha kati