hamis john
Member
- Mar 13, 2023
- 5
- 14
Naomba kuuliza utawez kusoma degree kama una gpa ya 2.7 ya diploma kama haiwezkan utafanyaje ili huweze kujiendeleza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ungepata Math D tu ungeruhusiwajaman naomben ushaurii nmemaliza form 4 result ipo hv
geogrpy D
civics D
bios D
kiswahl C
Englsh D
mathe F
histry F
naweza kuxomaa information technology
Mkuu habarUnamaanisha mahakama zipi? Mbona makarani wanaajiriwa hao hao. Siku hizi hakuna mahakimu wa diploma, wanaajiriwa degree waliohitimu Law School.
Nenda Dental utapata na mkopoNa vile vile kwa matokeo haya je ntachaguliwa cozi yeyote ya afya kwa chuo cha serikali?
Chem C
Bios C
phys D
Math C
English C
Hist C
Geo C
Kisw C
Civ C
Mkuu umekua ukisaidia watu wengi sana, Mungu akubariki.Nenda Dental utapata na mkopo
AminMkuu umekua ukisaidia watu wengi sana, Mungu akubariki.
Hach utan wwjamani naombeni msaada wenu nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nina div 3 point 25 grade za masomo ni:
geo-c bio-c eng-b+
math-b kisw-d hist-c
phy-c chem-d civ-c
Je, naweza kujiunga na chuo cha DIT
(nataka nichukue electronics and telecommunication engineering)