Vigezo vya kujiunga stashahada

Vigezo vya kujiunga stashahada

lungunya

Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
9
Reaction score
2
Wadau nilikuwa nauliza hivi, inawezekan mtu kamaliza kidato cha nne mwenye daraja la tatu kujiung na stashahada moja kwa moja?

Nasikia st. John Dodoma wanatoa hiyo, inawezekana kweli?
 
Diploma ya nini? Div three mbona form six unaenda? Au combi haijabalance?
 
Inawezekana kama una credit za kutosha. Kama zinakutosha kwenda form 5 kwanini usiende? Kama hazitoshi itabidi uanzie ngazi ya cheti.
 
Sina uhakika na hiyo kitu ninachojua ukimaliza form four ni lazima usome kwanza certificate ndo uende diploma ingawa kuna wengine huwa wanawaambia unasoma diploma lakini unakuwa unasoma miaka mitatu yaani mwaka wa kwanza unasoma basic certificate mwaka wa pili Technician Certificate na wa tatu ni Ordinary Diploma
 
miaka miwili ijayo form six itakuwa dhahabu tena! wow,let us wait.....,
 
"Short cut is always a wrong way" though most of the succesful people in the world used short cut to keep it real.
 
Vp wale wa st john. Yaan mtu anacredt 3 tu dvsion iii y 25. Wanasom diploma!?
 
Sina uhakika na hiyo kitu ninachojua ukimaliza form four ni lazima usome kwanza certificate ndo uende diploma ingawa kuna wengine huwa wanawaambia unasoma diploma lakini unakuwa unasoma miaka mitatu yaani mwaka wa kwanza unasoma basic certificate mwaka wa pili Technician Certificate na wa tatu ni Ordinary Diploma

huko sahihi kabisa
 
ata upate div one form 4 uwezi anza dip ni lazima upige cheti kwanza sasaivi hakuna ujanjaujanja
 
Wadau nilikuwa nauliza hivi, inawezekan mtu kamaliza kidato cha nne mwenye daraja la tatu kujiung na stashahada moja kwa moja?

Nasikia st. John Dodoma wanatoa hiyo, inawezekana kweli?

hio ni marketing strategy kuwavutia wateja!

utaambiwa diploma kwa miaka mitatu, utafurahi bila kujua kuwa mwaka wa kwanza ni kwa ajili ya certificate halafu miwili ni kwa ajili ya diploma yenyewe!

hio ndo marketing.. kuna njia nyingi sana za kumkamata buyer wa product yako!

utakuja kuelewa kilichofanywa baada ya kujiunga na chuo na kulipa ada yao!

mission completed!
 
hio ni marketing strategy kuwavutia wateja!

utaambiwa diploma kwa miaka mitatu, utafurahi bila kujua kuwa mwaka wa kwanza ni kwa ajili ya certificate halafu miwili ni kwa ajili ya diploma yenyewe!

hio ndo marketing.. kuna njia nyingi sana za kumkamata buyer wa product yako!

utakuja kuelewa kilichofanywa baada ya kujiunga na chuo na kulipa ada yao!

mission completed!
kweli kabisa mkuu.
 
achana na short cut fuata mtiririko itakuja kukucost baadae kwenye ajira
 
kweli kabisa mkuu.

mkuu watu hawaelewi nini maana ya marketing strategies!

kuna watu wakiambiwa kwamba kuna degree ya miaka sita baada ya kumaliza form four, watakimbilia tu bila kufanya reasoning!

kumbe hiyo ndiyo njia sometimes halali kabisa, na kama kuna utofauti basi ni kidogo sana!!

miaka sita means diploma mitatu then bachelor mitatu kwa course za biashara na baadhi za science.
 
hivi mtu wa diploma na yule wa degree, yupi ni mwepesi wa kupata jira haraka?

toa na sababu..
we shida yako ni ajira au ajira bora ,let say diploma ukawa dereva wangu nimimi bosi wako,au mi IT manager nina degree na wewe una diploma ukawa computer technician,labda uende kwenye siasa ambako hawaangalii hayo mambo
 
we shida yako ni ajira au ajira bora ,let say diploma ukawa dereva wangu nimimi bosi wako,au mi IT manager nina degree na wewe una diploma ukawa computer technician,labda uende kwenye siasa ambako hawaangalii hayo mambo

kijana umekurupuka.. hujanielewa kabisa!

referring to the economy of Tanzania.. Employers wengi wanaangalia less payment with greater production.

mtu wa degree kawaida huwa anakuwa katika management compared na yule wa diploma ambae ni mfanyakazi mkuu katika operational management.

compare gharama za kumlipa mtu wa diploma na yule wa degree halafu angalia productivity zao.
 
kijana umekurupuka.. hujanielewa kabisa!

referring to the economy of Tanzania.. Employers wengi wanaangalia less payment with greater production.

mtu wa degree kawaida huwa anakuwa katika management compared na yule wa diploma ambae ni mfanyakazi mkuu katika operational management.

compare gharama za kumlipa mtu wa diploma na yule wa degree halafu angalia productivity zao.
so unataka huyu aendelee kuajiriwa milele huo ni uoga soma kwa mtiririko sahihi kuunga unga kuna lata picha flani hivi huko mbele ya safari
 
kijana umekurupuka.. hujanielewa kabisa!

referring to the economy of Tanzania.. Employers wengi wanaangalia less payment with greater production.

mtu wa degree kawaida huwa anakuwa katika management compared na yule wa diploma ambae ni mfanyakazi mkuu
katika operational management.
a

compare gharama za kumlipa mtu wa diploma na yule wa degree halafu angalia productivity zao.

ni kweli na ndiyo maana makampuni mengi sikuhizi yanachukua watu wa diploma na ku wa train maana wanajua ni cheap,hawawezi bargain mshahara mkubwa.ila kumlipa mtu mwenye degree inahitaji pension maana wanajidai wanaringa na wanahitaji all packages za mshahara kisheria.lakn unaweza mwajiri part time mtu wa dip bila arrangement za social securities funds.lakin sahizi kuna baadhi wanalazimika kufanya kazi kwa mshahara mdogo na bila kuajiriwa permanent.NOTE kuna watu wamemaliza dip wanapewa hela nzuri kumzid wa degree kutokana labda na mchongo,ndugu na magumashi au experience ya kazi kwa mda mrefu sana kuliko fresh degree holder from school.
 
mkuu watu hawaelewi nini maana ya marketing strategies!

kuna watu wakiambiwa kwamba kuna degree ya miaka sita baada ya kumaliza form four, watakimbilia tu bila kufanya reasoning!

kumbe hiyo ndiyo njia sometimes halali kabisa, na kama kuna utofauti basi ni kidogo sana!!

miaka sita means diploma mitatu then bachelor mitatu kwa course za biashara na baadhi za science.

marketing strategies ambazo wanatumia watu bila kuzijua unaweza ingia tu mkenge bila kufikiri kwa undani.COVEAT EMPTOR(let the buyer be ware not seller be ware)so kama chuo hakitakueleza kwa kina unaweza changanya mambo.mf kuna mwanafunzi mmoja aliendasoma diploma chuo fulani hapa akaruka ngazi ya certificate baada ya kutoka o level.alipomaliza akaenda kuomba chuo kingine bachelor wakamwambia haiwezekani(reference tcu)so kuna mda ilikatazwa hiyo ya kuruka grade.mfano mtu ata ukiwa na one form 4 ni lazima uanze na certificate.labda kama wameurudisha tena huo utaratibu.ngoja nifuatilie vizuri.nttarudi tena
 
mkuu watu hawaelewi nini maana ya marketing strategies!

kuna watu wakiambiwa kwamba kuna degree ya miaka sita baada ya kumaliza form four, watakimbilia tu bila kufanya reasoning!

kumbe hiyo ndiyo njia sometimes halali kabisa, na kama kuna utofauti basi ni kidogo sana!!

miaka sita means diploma mitatu then bachelor mitatu kwa course za biashara na baadhi za science.

mfano st joseph univ wanatoa course ya ualimu kwa miaka mitano au sita kama sikosei ukitoka form 4.sasa ni sawa na kusema mtu asome certificate,dip,na bachelor sema wao wamecombine mambo ili kuwapata wateja ambao wana responde haraka.sasa sijafanya analysis ya ubora na uzuri wa hiyo programe.
 
Back
Top Bottom