Vigezo vya kuwa platinum member wa JF. Hivi huwa wanaangalia aina za mada au ukongwe wa member, Hongereni sana platinum members sijaona kilaza kabisa.

Vigezo vya kuwa platinum member wa JF. Hivi huwa wanaangalia aina za mada au ukongwe wa member, Hongereni sana platinum members sijaona kilaza kabisa.

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
JF kwa kweli hongereni sana timu nzima ya wakandarasi wa mtandao huu pendwa.

Licha ya kwamba JF imekuwa jukwaa huru, lakini hawa platinum members kwa kweli wamekuwa ni watu wa maana kabisa.

Ukiona mtu kama Kiranga au Mshana Jr ana comment kwenye mada yako basi ujue kwamba hiyo mada ni ya moto kweli kweli.

Ingawa sometimes wana misimamo yao kuhusu mambo tofauti haswa kwenye dini. Ila kwakweli #Platinum member wa jamiiforum ni watu wa maana sana.

NB: tuanze sasa kumpigia kura rikiboy mzee wa #Tundakimasihara mada yake iingie kwenye mada bora outstanding toka JF ianzishwe.

Nawasilisha.
 
JF kwa kweli hongereni sana timu nzima ya wakandarasi wa mtandao huu pendwa.

Licha ya kwamba JF imekuwa jukwaa huru, lakini hawa platinum members kwa kweli wamekuwa ni watu wa maana kabisa.

Ukiona mtu kama Kiranga au Mshana Jr ana comment kwenye mada yako basi ujue kwamba hiyo mada ni ya moto kweli kweli.

Ingawa sometimes wana misimamo yao kuhusu mambo tofauti haswa kwenye dini. Ila kwakweli #Platinum member wa jamiiforum ni watu wa maana sana.

NB: tuanze sasa kumpigia kura rikiboy mzee wa #Tundakimasihara mada yake iingie kwenye mada bora outstanding toka JF ianzishwe.

Nawasilisha.
Asante mkuu,

Mbona kama unataka kuninyima uhuru wa kuingia mada za kimasihara mkuu? 😂😂😂

Mimi nipo kotekote tu kulingana na mood usishangae siku ukanikuta nawa serenade watu hapa kwenye mada za comedy, mara Juma Lokole kapigana na Konde Gang kwenye ugomvi wa ku bet mapenzi ya Konde Boy na Kajala.

Halafu ukigeuka kidogo unanikuta nafanya Hegelian dialectic na immanent critique kwa logical fallacies naonesha no nsequitur na ad hominem fallacy.
 
Asante mkuu,

Mbona kama unataka kuninyima uhuru wa kuingia mada za kimasihara mkuu? 😂😂😂

Mimi nipo kotekote tu kulingana na mood usishangae siku ukanikuta nawa serenade watu hapa kwenye mada za comedy, mara Juma Lokole kapigana na Konde Gang kwenye ugomvi wa ku bet mapenzi ya Konde Boy na Kajala.

Halafu ukigeuka kidogo unanikuta nafanya Hegelian dialectic na immanent critique kwa logical fallacies naonesha nonnsequitur na ad hominem fallacy.
Hatari sana mzee
 
Asante mkuu,

Mbona kama unataka kuninyima uhuru wa kuingia mada za kimasihara mkuu? 😂😂😂

Mimi nipo kotekote tu kulingana na mood usishangae siku ukanikuta nawa serenade watu hapa kwenye mada za comedy, mara Juma Lokole kapigana na Konde Gang kwenye ugomvi wa ku bet mapenzi ya Konde Boy na Kajala.

Halafu ukigeuka kidogo unanikuta nafanya Hegelian dialectic na immanent critique kwa logical fallacies naonesha no nsequitur na ad hominem fallacy.
Kaka mkubwa kesho nina kikao na watendaji wa kata na vijiji Sasa haya maneno ya kingereza nayachukua sijui maana yake Ila nitayaunganisha kwenye hotuba yangu kuwakomoa tu
 
JF kwa kweli hongereni sana timu nzima ya wakandarasi wa mtandao huu pendwa.

Licha ya kwamba JF imekuwa jukwaa huru, lakini hawa platinum members kwa kweli wamekuwa ni watu wa maana kabisa.

Ukiona mtu kama Kiranga au Mshana Jr ana comment kwenye mada yako basi ujue kwamba hiyo mada ni ya moto kweli kweli.

Ingawa sometimes wana misimamo yao kuhusu mambo tofauti haswa kwenye dini. Ila kwakweli #Platinum member wa jamiiforum ni watu wa maana sana.

NB: tuanze sasa kumpigia kura rikiboy mzee wa #Tundakimasihara mada yake iingie kwenye mada bora outstanding toka JF ianzishwe.

Nawasilisha.
❤❤❤📌🔨💪🏿
FB_IMG_1734259920094.jpg
 
Asante mkuu,

Mbona kama unataka kuninyima uhuru wa kuingia mada za kimasihara mkuu? 😂😂😂

Mimi nipo kotekote tu kulingana na mood usishangae siku ukanikuta nawa serenade watu hapa kwenye mada za comedy, mara Juma Lokole kapigana na Konde Gang kwenye ugomvi wa ku bet mapenzi ya Konde Boy na Kajala.

Halafu ukigeuka kidogo unanikuta nafanya Hegelian dialectic na immanent critique kwa logical fallacies naonesha no nsequitur na ad hominem fallacy.
Unaona siiiifa kutuandikia meneno yasiyoeleweka.. eeh... wasomi bana..
😄😄
 
Asante mkuu,

Mbona kama unataka kuninyima uhuru wa kuingia mada za kimasihara mkuu? 😂😂😂

Mimi nipo kotekote tu kulingana na mood usishangae siku ukanikuta nawa serenade watu hapa kwenye mada za comedy, mara Juma Lokole kapigana na Konde Gang kwenye ugomvi wa ku bet mapenzi ya Konde Boy na Kajala.

Halafu ukigeuka kidogo unanikuta nafanya Hegelian dialectic na immanent critique kwa logical fallacies naonesha no nsequitur na ad hominem fallacy.
Vingereza vya dictionary eti uonekane kama nunda hivi kumbe chalii tu
 
Back
Top Bottom