Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Lipia 50,000 upewe bango mkuu,bango la platnum ni sh 50000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo si maneno yasiyoeleweka, mimi nayaelewa.Unaona siiiifa kutuandikia meneno yasiyoeleweka.. eeh... wasomi bana..
😄😄
Hivyo vingine wala si viingereza, ni vilatini.Vingereza vya dictionary eti uonekane kama nunda hivi kumbe chalii tu
Wana elimu ya Kuzimu ambayo ni invisible isipokua Kwa matokeo yakeHawa wote ni wazee alafu na elimu zao ninazo kiganjani hata wa form six hayupo hata mmoja
Utoto ukiwa umezeeka ndio raha zaidi.Utoto raha
Ni kweli MkuuHayo si maneno yasiyoeleweka, mimi nayaelewa.
Na wewe unaweza kuyaelewa ukitaka, hujataka tu.
Kutokutaka huko ni tatizo lako, si tatizo langu.
Usinilaumu mimi kwa tatizo lakon
Sasa unataka wa monopolize hii forum kama CCM na Tanganyika?JF kwa kweli hongereni sana timu nzima ya wakandarasi wa mtandao huu pendwa.
Licha ya kwamba JF imekuwa jukwaa huru, lakini hawa platinum members kwa kweli wamekuwa ni watu wa maana kabisa.
Ukiona mtu kama Kiranga au Mshana Jr ana comment kwenye mada yako basi ujue kwamba hiyo mada ni ya moto kweli kweli.
Ingawa sometimes wana misimamo yao kuhusu mambo tofauti haswa kwenye dini. Ila kwakweli #Platinum member wa jamiiforum ni watu wa maana sana.
NB: tuanze sasa kumpigia kura rikiboy mzee wa #Tundakimasihara mada yake iingie kwenye mada bora outstanding toka JF ianzishwe.
Nawasilisha.
Chawa hawamo Labda kwenye chama Chao!Kwani Lucas Mwashambwa hajafikia hizi level?
Ya kweli hayo,tupe maelekezo!Lipia 50,000 upewe bango mkuu,bango la platnum ni sh 50000