Vigezo vya kuwa platinum member wa JF. Hivi huwa wanaangalia aina za mada au ukongwe wa member, Hongereni sana platinum members sijaona kilaza kabisa.

Vigezo vya kuwa platinum member wa JF. Hivi huwa wanaangalia aina za mada au ukongwe wa member, Hongereni sana platinum members sijaona kilaza kabisa.

Vingereza vya dictionary eti uonekane kama nunda hivi kumbe chalii tu
Hivyo vingine wala si viingereza, ni vilatini.

Ila wewe hujui na huna interest ya kujua.

Which is OK.

Lakini pia unanijazia inferiority complex hapa kwa sababu hujui na hutaki kujua.

Which is not OK.

Lugha ushindwe kujua wewe, lawama unipe mimi?

Ushuzi ujambe wewe, lawama unipe mimi?
 
JF kwa kweli hongereni sana timu nzima ya wakandarasi wa mtandao huu pendwa.

Licha ya kwamba JF imekuwa jukwaa huru, lakini hawa platinum members kwa kweli wamekuwa ni watu wa maana kabisa.

Ukiona mtu kama Kiranga au Mshana Jr ana comment kwenye mada yako basi ujue kwamba hiyo mada ni ya moto kweli kweli.

Ingawa sometimes wana misimamo yao kuhusu mambo tofauti haswa kwenye dini. Ila kwakweli #Platinum member wa jamiiforum ni watu wa maana sana.

NB: tuanze sasa kumpigia kura rikiboy mzee wa #Tundakimasihara mada yake iingie kwenye mada bora outstanding toka JF ianzishwe.

Nawasilisha.
Sasa unataka wa monopolize hii forum kama CCM na Tanganyika?
Vipi kuhusu vichwa vipya au tuwasubiri hao wasiwepo tena?
 
Back
Top Bottom