VIGOGO wa Wakala wa Majengo (TBA) wahukumiwa kifungo

Bongo iliuweshimike zafuta hela hata kuzimu nenda ukishazipata utaona respet kwa wote hadi police watakuogopa ukikosa hela bongo jaribu kutafuta heshima nyingine kuwa mchawi tu watakuogopa kama nini
 
source global publisher!!!!?????? !!!???????????????
 

....bongo ni sanaa kila mahali....jengo limejengwa kwa miaka kadhaa, wanapita hapo wanaliona,,,duh,,,na huyo mwekezaji ni mjanja mno,, kwani wapangaji wa ghorofa kadhaa ni wana usalama wa taifa, wanalipa kwa kodi zetu, na watalipa milele labda ikulu ihamishwe...sijui tunaenda wapi ......TANGANYIKA YETU IKO WAPI?
 
ushauri wa bure tu hilo gorofa upande wa juu wote wachukue family ya wana usalama wa taifa
soooryyy mwana unaweza ukatupa storyy kidogo juu ya the fff doj in related to the issue concern about candid to my country maaana umetudokeza juu ya hio novell na hatuna na tunapenda kuijua
 
Mie siwaelewi hakika. Kiwanja mali ya Uma. Mwekezaji kawekwa na Uma. Hakimu wa Uma. Kibali cha ujenzi kimetolewa na Uma. Notice ya kusimamisha ujenzi wakati kesi iko mahakamani imetolewa na Uma. Umeme umefungwa na Uma. Kila kitu kimebarikiwa na kuhalalishwa na Uma.
Unajua muache utoto... hivi mkoje?
 

Hilo umesema ukweli hivi full story ikoje? aliye nayo atujuze jamani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…