Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Aliyepuliza kipyenga huyu hapa , aliwahi kuwa Diwani , anaitwa Joel Mwakalebela , Diwani wa zamani wa Kata ya Wazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kugombea?Mwenyekiti wa taifa lini?🐼😂🔥
NdioUnataka kugombea?
Kwani UWT mnafanya lini uchaguzi?Ndio
2027 Wakati mwenyekiti wa Chadema akiwa Joseph Mbilinyi Sugu Moto Chini 😄Kwani UWT mnafanya lini uchaguzi?
Subiri umpokee Mary Chatanda2027 Wakati mwenyekiti wa Chadema akiwa Joseph Mbilinyi Sugu Moto Chini 😄
NdiyoMwaka huu Chadema ina uchaguzi wa ndani ?
Chatanda atagombea Urais 2025 kupitia Chadema 😂🔥Subiri umpokee Mary Chatanda
Labda uRais wa TFFChatanda atagombea Urais 2025 kupitia Chadema 😂🔥
Mulitaka kusambaratisha Chadema kwa kutumia mamluku Zitto eti awe chairman mukashidwa,mukamfilisa kupora biashara zake,ubunge ,vurugu kila siku ,kumfunga jela mda wote Mwisho wasiku mkamfungulia kesi ya uhaini eti mumunyonge ila sir God akawakatalia yeye yupo around tuu...kweli KIPARA BILA AKILI NI SAWA TAKO!!Ikifika kwa chairman ile kauli yetu maarufu jaribu kuramba sumu kwa ulimi!
Ongeza na chacha wangwe!Mulitaka kusambaratisha Chadema kwa kutumia mamluku Zitto eti awe chairman mukashidwa,mukamfilisa kupora biashara zake,ubunge ,vurugu kila siku ,kumfunga jela mda wote Mwisho wasiku mkamfungulia kesi ya uhaini eti mumunyonge ila sir God akawakatalia yeye yupo around tuu...kweli KIPARA BILA AKILI NI SAWA TAKO!!
Kama siku mkisikia Mbowe anajitoa mtatangaza siku 3 za mapumziko ki taifa.Mwenyekiti wa taifa lini?🐼😂🔥
Naongezea Mawazo, Ben Sanane, Watu waliokotwa kwenye viroba n.k... Kweli kipara bila akili ni Sawa takoOngeza na chacha wangwe!
Kiini maacho tu ,eti wakimaliza ndio watamuizinisha Mzee Mbowe kwa miaka mingine mitanoMwaka huu Chadema ina uchaguzi wa ndani ?
Kwa hakika Mbowe ni zawadi kwa maana yeye kama mwenyeketi hana mvuto wa kugombea urais hivyo ni lazima ategemee kupata mgombea toka vyama vingineKama siku mkisikia Mbowe anajitoa mtatangaza siku 3 za mapumziko ki taifa.