Umeshasahau kuwa mzee Mbowe aligombea urais wa Tanzania akapata kura laki nane tu?Mulitaka kusambaratisha Chadema kwa kutumia mamluku Zitto eti awe chairman mukashidwa,mukamfilisa kupora biashara zake,ubunge ,vurugu kila siku ,kumfunga jela mda wote Mwisho wasiku mkamfungulia kesi ya uhaini eti mumunyonge ila sir God akawakatalia yeye yupo around tuu...kweli KIPARA BILA AKILI NI SAWA TAKO!!