Umeshasahau kuwa mzee Mbowe aligombea urais wa Tanzania akapata kura laki nane tu?Mulitaka kusambaratisha Chadema kwa kutumia mamluku Zitto eti awe chairman mukashidwa,mukamfilisa kupora biashara zake,ubunge ,vurugu kila siku ,kumfunga jela mda wote Mwisho wasiku mkamfungulia kesi ya uhaini eti mumunyonge ila sir God akawakatalia yeye yupo around tuu...kweli KIPARA BILA AKILI NI SAWA TAKO!!
Saiv tunaangalia mifuko inasemaje😄msije kutupiga makelele burebure
hiyo orodha ifanywe nini juha!Naongezea Mawazo, Ben Sanane, Watu waliokotwa kwenye viroba n.k... Kweli kipara bila akili ni Sawa tako
Kwa chaguzi bila free and fair wewe pusi ulitegemea miujiza gani?Umeshasahau kuwa mzee Mbowe aligombea urais wa Tanzania akapata kura laki nane tu?
Kwa chaguzi bila free and fair wewe pusi ulitegemea miujiza gani?
Mzee lowassa mbona alipata kura miliono sita dhidi ya za mzee mbowe laki nane ?Kwa chaguzi bila free and fair wewe pusi ulitegemea miujiza gani?
Pole sana mkuu,endelea kupigana vita mliyoshindwa tayari chini ya mzee Mbowe -You are simply fighting a lost cause” kama hutaweza tafsiri mrushie Tundu Lissu akusaidieSio alipata ila alishinda uchaguzi huwu ni mfano moja wakipumbavu wa lichama chakavu lenu
Makupa
Jifunze kuandika vizuri mkuuKiini maacho tu ,eti wakimaliza ndio watamuizinisha Mzee Mbowe kwa miaka mingine mitano
CHADEMA ni miongoni mwa vyama sahihi vya siasa nchini Tanzania, lakini mbinu au njia wanayotumia katika kufanya siasa katika nchi ya Tanzania haiko sahihi.
Toa plan BCHADEMA ni miongoni mwa vyama sahihi vya siasa nchini Tanzania, lakini mbinu au njia wanayotumia katika kufanya siasa katika nchi ya Tanzania haiko sahihi.
"Kumjua adui yako ni nusu ya kushinda vita."Toa plan B
Nani hawajui CCM hadi leo ?"Kumjua adui yako ni nusu ya kushinda vita."
Che Guevara.
CHADEMA wakiwamo.Nani hawajui CCM hadi leo ?
Nani hawajui CCM hadi leo ?"Kumjua adui yako ni nusu ya kushinda vita."
Che Guevara.
Ikiwa chama kinafanya siasa za wazi kabisa za makongamano , mikutano na maandamano , unawezaje kusema ni mbinu zisizo sahihi ?CHADEMA wakiwamo.
Ndio maana siku zote wamekuwa wakitumia mbinu au njia zisizo sahihi katika kufanya siasa hapa Tz.
Aliyepuliza kipyenga huyu hapa , aliwahi kuwa Diwani , anaitwa Joel Mwakalebela , Diwani wa zamani wa Kata ya Wazo
View attachment 2941225
Dogo wewe sio miongoni wa waandishi wa Tanzania daima waliotapeliwa na kijana wa mbowe?Aliyepuliza kipyenga huyu hapa , aliwahi kuwa Diwani , anaitwa Joel Mwakalebela , Diwani wa zamani wa Kata ya Wazo
View attachment 2941225
Ni 'mbinu zisizo sahihi' ndio. Nafikiri ukichekecha hoja hii na ukitumia ubongo wako vizuri utakuwa umeanza kuelewa ninachomaanisha.Nani hawajui CCM hadi leo ?
Ikiwa chama kinafanya siasa za wazi kabisa za makongamano , mikutano na maandamano , unawezaje kusema ni mbinu zisizo sahihi ?
Hakuna mwandishi wa habari wa Tanzania ambaye ni tajiriDogo wewe sio miongoni wa waandishi wa Tanzania daima waliotapeliwa na kijana wa mbowe?
Hatutatumia bunduki kuikomboa Tanzania , tutaitoa ccm kidemokrasia tuNi 'mbinu zisizo sahihi' ndio. Nafikiri ukichekecha hoja hii na ukitumia ubongo wako vizuri utakuwa umeanza kuelewa ninachomaanisha.
Haiwezekani maana mnatapeliwa Hadi na wanaotetea haki zenuHakuna mwandishi wa habari wa Tanzania ambaye ni tajiri