Tetesi: Vigogo watatu na maelfu ya wanachadema Kahama kutimkia CCM

Hivi jamani ile sukari nyingi sana iliyoagizwa imefika au bado? Mbona kilo ya sukari bado ni sh. 3000?
Jamani unaishi wapi. Hapa Arusha sukari haina wanunuzi pale sokoni sukari safi ya TPC inauzwa shs. 2200.00 na ile mbovu iliyoagizwa inauzwa shs. 1800.00 jana nimenunua kilo 20
 
Jamani unaishi wapi. Hapa Arusha sukari haina wanunuzi pale sokoni sukari safi ya TPC inauzwa shs. 2200.00 na ile mbovu iliyoagizwa inauzwa shs. 1800.00 jana nimenunua kilo 20
Ya kweli hayo? Hata hivyo sukari ilikuwa ya nchi nzima na siyo ya AR peke yake.
 
Vipi kamati kuu itawapokea ama Mwenyekiti mwenyewe?
 
 
Wewe na Tandale One nani mkubwa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…