Tetesi: Vigogo watatu na maelfu ya wanachadema Kahama kutimkia CCM

Tetesi: Vigogo watatu na maelfu ya wanachadema Kahama kutimkia CCM

Taarifa nilizozipata kutoka chanzo changu cha uhakika kutoka mjini Kahama ni kuwa vigogo watatu toka CHADEMA watajisalimisha CCM wakati wa ziara ya mwenyekiti mpya wa CCM mjini humo.

Aidha licha ya vigogo hao ambao wote ni wale waliokihama chama hicho mwaka jana pia maelfu ya wanachadema wa kawaida wanatarajiwa kurejesha kadi zao na kujiunga CCM mbele ya mwenyekiti mpya.

Watu hao wanadai kuwa hawaoni sababu ya kuendelea kuwa wapinzani wakati wapinzani siku hizi wanakumbatia na kutetea ufisadi kwa kisingizio cha demokrasia.

Kwakweli ziara hii ni msiba kwa CHADEMA.
Jitekenye na kujikojolesha mwenyewe kama kawaida yenu.
 
Kwa hiyo wakitoka chadema na kurudi tena ccm wanakuwa oil mpya aisee kweli chadema wanatakasa wachafu ila tu wanawakata mikia

Leo jioni naomba kila mtu aagize supu ya mkia! maana mikia naona ni mingi sana nawaomba sana tafadhali hata kama hujawahi
 
Tehetehetehe. Wakirudi CCM watapewa muda wa kukiimarisha chama kutokana na athari walizozisababisha
Kwani polisi wameruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa?

Nauliza tu. Ni swali dhaifu
 
Wana moyo mgumu kweli, hawaogopi kukatwa "ncha ya uti wa mgongo" ?
 
Jeshi la Polisi limeruhusu Mikutano ya hadhara au hii haiwahusu CCM.
 
Hivi jamani ile sukari nyingi sana iliyoagizwa imefika au bado? Mbona kilo ya sukari bado ni sh. 3000?
sasa hayo ndio muhimu kuhoji ajabu nyie mmekimbilia kujenga ukuta kwanza[emoji3] [emoji3] hayaa maandalizi mema sisi tutawaona kwa tv mkihangaika kwa mabomu
 
Yetu macho. Tunasubiri. Kuna mtu alitutia matumaini wakati wa Mkutano wa CCM majuzi, ikaishia kwa akina fulani, ambao baadaye waliitwa ng'ombe wasiokuw ana mikia!
 
He sasa huo utakuwa mkutano wa misiasa sasa. Kwa hiyo fisiem wanataka kupiga propaganda lakini upinzani si ruksa? Are you insane?
 
sasa hayo ndio muhimu kuhoji ajabu nyie mmekimbilia kujenga ukuta kwanza[emoji3] [emoji3] hayaa maandalizi mema sisi tutawaona kwa tv mkihangaika kwa mabomu
Tusipomjengea ukuta atakimbia. Unajenga ukuta anakuwa ndani kisha unaanza kumhoji. Umeona ule ukuta aliyojengewa nyoka? Hawezi kutoka hata kama ni mjanja kiasi gani.
 
Taarifa nilizozipata kutoka chanzo changu cha uhakika kutoka mjini Kahama ni kuwa vigogo watatu toka CHADEMA watajisalimisha CCM wakati wa ziara ya mwenyekiti mpya wa CCM mjini humo.

Aidha licha ya vigogo hao ambao wote ni wale waliokihama chama hicho mwaka jana pia maelfu ya wanachadema wa kawaida wanatarajiwa kurejesha kadi zao na kujiunga CCM mbele ya mwenyekiti mpya.

Watu hao wanadai kuwa hawaoni sababu ya kuendelea kuwa wapinzani wakati wapinzani siku hizi wanakumbatia na kutetea ufisadi kwa kisingizio cha demokrasia.

Kwakweli ziara hii ni msiba kwa CHADEMA.
Pyuuuuxxxxxx ng'ombe kasoro mkia....
 
Hizi mechi kwanini zisichezwe uwanja huru kwa timu zote? mnawafunga wenzenu miguu halafu mnajisifia kwa uhodari wa mbio
 
Back
Top Bottom