Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa za kibongo ni njaa tupu.Taarifa nilizozipata kutoka chanzo changu cha uhakika kutoka mjini Kahama ni kuwa vigogo watatu toka CHADEMA watajisalimisha CCM wakati wa ziara ya mwenyekiti mpya wa CCM mjini humo.
Aidha licha ya vigogo hao ambao wote ni wale waliokihama chama hicho mwaka jana pia maelfu ya wanachadema wa kawaida wanatarajiwa kurejesha kadi zao na kujiunga CCM mbele ya mwenyekiti mpya.
Watu hao wanadai kuwa hawaoni sababu ya kuendelea kuwa wapinzani wakati wapinzani siku hizi wanakumbatia na kutetea ufisadi kwa kisingizio cha demokrasia.
Kwakweli ziara hii ni msiba kwa CHADEMA.
Malaya wa kisiasa?Taarifa nilizozipata kutoka chanzo changu cha uhakika kutoka mjini Kahama ni kuwa vigogo watatu toka CHADEMA watajisalimisha CCM wakati wa ziara ya mwenyekiti mpya wa CCM mjini humo.
Aidha licha ya vigogo hao ambao wote ni wale waliokihama chama hicho mwaka jana pia maelfu ya wanachadema wa kawaida wanatarajiwa kurejesha kadi zao na kujiunga CCM mbele ya mwenyekiti mpya.
Watu hao wanadai kuwa hawaoni sababu ya kuendelea kuwa wapinzani wakati wapinzani siku hizi wanakumbatia na kutetea ufisadi kwa kisingizio cha demokrasia.
Kwakweli ziara hii ni msiba kwa CHADEMA.
Sasa wanahama mara ya pili ?
wanatimkia Mara ya pili ?
Kuna jipya gani hapo ?
#Hapa mbwe mbwe tu !
Kwahiyo Chadema wana wafuasi maelfu huko mwanza ambapo baadhi ya hayo maelfu watahamia ccm wakati Raisi atavunja amri yake ya kutokufanya mikutano ya hadhara!
Heheehee dola ishapandaHivi jamani ile sukari nyingi sana iliyoagizwa imefika au bado? Mbona kilo ya sukari bado ni sh. 3000?
What is the current exchange rate?Heheehee dola ishapanda
MAIGIZO YA CCM TUMESHAZOWEA HATA HATUSHANGAITaarifa nilizozipata kutoka chanzo changu cha uhakika kutoka mjini Kahama ni kuwa vigogo watatu toka CHADEMA watajisalimisha CCM wakati wa ziara ya mwenyekiti mpya wa CCM mjini humo.
Aidha licha ya vigogo hao ambao wote ni wale waliokihama chama hicho mwaka jana pia maelfu ya wanachadema wa kawaida wanatarajiwa kurejesha kadi zao na kujiunga CCM mbele ya mwenyekiti mpya.
Watu hao wanadai kuwa hawaoni sababu ya kuendelea kuwa wapinzani wakati wapinzani siku hizi wanakumbatia na kutetea ufisadi kwa kisingizio cha demokrasia.
Kwakweli ziara hii ni msiba kwa CHADEMA.
Sahau kuhusu hayo ya msingi mkuu.Hivi jamani ile sukari nyingi sana iliyoagizwa imefika au bado? Mbona kilo ya sukari bado ni sh. 3000?
Ngoja lizaboni atakujibu mkuuHivi jamani ile sukari nyingi sana iliyoagizwa imefika au bado? Mbona kilo ya sukari bado ni sh. 3000?
Vipi wale mliosema mtawafukuza sababu walikihujumu chama mwaka jana?Tehetehetehe. Wakirudi CCM watapewa muda wa kukiimarisha chama kutokana na athari walizozisababisha
Yaani mas...hga utawajua tu ....Naona unatamani kushikishwa wallBora wahame tu, hizi operations za kushikishana UKUTA hazifai kabisa
Eeeh... mutima wangu mie!!!Kwa hiyo wakitoka chadema na kurudi tena ccm wanakuwa oil mpya aisee kweli chadema wanatakasa wachafu ila tu wanawakata mikia