Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Light uchafu na matusi ndio kinachowaponza chadema mpaka mwache corona ndio hiyo democrasia mnayoitaka itaruhusiwakwa hiyo ni ziara ya kisiasa.. ambazo mfuga ng'ombe alikurupuka kama kawaida yake kuzikataza?
maana malengo yake ni yale yale.. na mbona mm naona kumshabikia huyu Dikteta na mambo yake ni Kuwaonea watanzania wenzako.
Tulia mkuu hii ni nchi ya wiwanda.Hivi jamani ile sukari nyingi sana iliyoagizwa imefika au bado? Mbona kilo ya sukari bado ni sh. 3000?
Inabidi watume majeshi huko Mogadishu kwa wazee wanaojua kuitumia manati ya mdhungu wakaikomboe hiyo sukari maana wamejipanga kweli kweli.nasikia meli ilitekwa na maharamia wa somalia,kwahiyo mzigo wote ulishukia mogadishu
mkuu tuombeane uzima.. ipo siku maamuzi ya kukurupika yatakugusa hata wewe. kulikuwa hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano ya kisiasa mpaka 2020.Light uchafu na matusi ndio kinachowaponza chadema mpaka mwache corona ndio hiyo democrasia mnayoitaka itaruhusiwa
Watu kama ninyi ndo mnaingia kwenye chumba cha mtihani na kuanza kujibu maswali kabla ya kusoma instructions. OVYO!Tulia mkuu hii ni nchi ya wiwanda.
Vigogo wenyewe akina Mgana? Akina Mpendazoe? Haya bwanaaa!
lakini ni vizuri kukumbuka ngombe aliyekatika mkia au nguruwe au kondoo huwa na afya nzuri na bora
Asante ila nafikiri hukunielewa nilimaanisha nini.Watu kama ninyi ndo mnaingia kwenye chumba cha mtihani na kuanza kujibu maswali kabla ya kusoma instructions. OVYO!
Punguza unywaji wa viroba,vinaleta upofu.Huu uzi no wa chama cha mahahira ee! Maana sioni maana yake.