Tetesi: Vigogo watatu na maelfu ya wanachadema Kahama kutimkia CCM

Tetesi: Vigogo watatu na maelfu ya wanachadema Kahama kutimkia CCM

kwa hiyo ni ziara ya kisiasa.. ambazo mfuga ng'ombe alikurupuka kama kawaida yake kuzikataza?
maana malengo yake ni yale yale.. na mbona mm naona kumshabikia huyu Dikteta na mambo yake ni Kuwaonea watanzania wenzako.
Light uchafu na matusi ndio kinachowaponza chadema mpaka mwache corona ndio hiyo democrasia mnayoitaka itaruhusiwa
 
Mzee wa nyeti za kuku japo utakua umekatwa mkia ila mlango wa zizi uko wazi ila tayari kibutu cha mkia uliokatika kitakua alama isiofutika
 
Ukija chadema na ukapokelewa, cku ya kuondoka kurudi ccm lazima tukukate mkia
 
nimeamini kuzuia mikutano ya kisiasa haiwezekani. anyway ngombe wasiona mikia wanarudi zizini..
 
Hao nyumbu na ng'ombe waliokatwa mikia acha warudi tu kwenye zizi maana hawana tija kwenye chama. Halafu pia kwa kanda ya ziwa na mikoa ya jirani kukimbilia CCM haitashangaza kwa kuwa ni mtu wao pia kwa kuwa na wao wanajuana hata sasa tumekubali.
 
nasikia meli ilitekwa na maharamia wa somalia,kwahiyo mzigo wote ulishukia mogadishu
Inabidi watume majeshi huko Mogadishu kwa wazee wanaojua kuitumia manati ya mdhungu wakaikomboe hiyo sukari maana wamejipanga kweli kweli.
 
Light uchafu na matusi ndio kinachowaponza chadema mpaka mwache corona ndio hiyo democrasia mnayoitaka itaruhusiwa
mkuu tuombeane uzima.. ipo siku maamuzi ya kukurupika yatakugusa hata wewe. kulikuwa hakuna haja ya kupiga marufuku mikutano ya kisiasa mpaka 2020.
 
Kwanza kuna watu wanafata mkumbo tu hata mtoa mada naye anafata mkumbo coz democrasia ni uwanja mpana sana sasa kila mtu ana haki ya kuchagua kiongozi anaye mtaka au chama anacho taka sasa mim namini ipo siku watanzania tuta jua mana ya kubadilisha viongozi sio kuangalia chama tunahitaji mabadiliko ya kimfumo ambao wote au hata 90%watanzania ali tufuate kwa kuheshimu na kulinda kwa pamoja sio mtu mmoja kama sasa ndio dalili inavyo elekea siasa zetu tuondoke kwenye ushabiki tuwe wazalendo kwa taifa letu watanzani tunahitaji mfumo ambao chama chochote kile ambacho wananchi wakiamua kukichagua basi kishike dola sio mfumo huu wa sasa ambao hata tume huru ya uchaguzi hakuna jamani kama sisi vijana wasasa tutashindwa kulazimisha mariziano na hawa wazee ambao ndio wameifikisha nchi hapa bas tukae tukijua kama tulikubali democrasia basi hatuna budi kuondoa vigingi vyake bila ya hivyo kuna siku damu itamwagika coz sija ona ujinga wa milele kwa mwanadamu alie sitarabika. by tevez mkereketwa namba 1 wa katiba ya Warioba
 
Vigogo wenyewe akina Mgana? Akina Mpendazoe? Haya bwanaaa!

Je, Lembeli akirudi CCM utasemaje??? Au tuseme Mgeja akiona huko CHADEMA ni sawa na mahabusu utakuwa na la kusema??? Au MNYIKA akiamua kwenda CCM utasemaje, Ndugu yangu??? Au tuseme Esther Bulaya akiona amechoka kuzungusha mikono utasema nini????
 
Back
Top Bottom