Samweli Mathayo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 1,577
- 1,702
Mnyetishaji anaseme kwa hali na mali matajiri wanaumia sana kwani wamebanwa kila njia wanaangalia nani wa kumuunga mkono agombee kwa njia yeyote Ile by 2020 basi inaonekana ndani ya CCM watajaribu nje,
Heko Rais Wetu shupavu kaba hapo hapo yaan usilegeze kaba walipe kodi,
Jina la mnyetishaji JM , anatokea idara nyeti, lakin Magufuli kalishtukia mapema sana hata wanaohamia CCM wanachunguzwa kabla, kuna watu wengi wanapenda kuhamia CCM wamekataliwa
Heko Rais Wetu shupavu kaba hapo hapo yaan usilegeze kaba walipe kodi,
Jina la mnyetishaji JM , anatokea idara nyeti, lakin Magufuli kalishtukia mapema sana hata wanaohamia CCM wanachunguzwa kabla, kuna watu wengi wanapenda kuhamia CCM wamekataliwa