Tetesi: Vigogo zaidi ya 20 kuitikisa CCM kabla ya 2020

Tetesi: Vigogo zaidi ya 20 kuitikisa CCM kabla ya 2020

Mnyetishaji anaseme kwa hali na mali matajiri wanaumia sana kwani wamebanwa kila njia wanaangalia nani wa kumuunga mkono agombee kwa njia yeyote Ile by 2020 basi inaonekana ndani ya CCM watajaribu nje,

Heko Rais Wetu shupavu kaba hapo hapo yaan usilegeze kaba walipe kodi,

Jina la mnyetishaji JM , anatokea idara nyeti, lakin Magufuli kalishtukia mapema sana hata wanaohamia CCM wanachunguzwa kabla, kuna watu wengi wanapenda kuhamia CCM wamekataliwa

Haya mahadithi yenu huna watoto ukawahadithia mida ya jion kwani mkuu?! Kujua kusoma na kuandika kusikufanye ukaandika kila kitu, vingine chuja!!

Back to the topic:
Sifa unazompa huyo mtu ni za kitoto sana! Hakuna alichobana popote, wenye hela wanazidi kuwa na hela. Wala rushwa wanazidi kula kuliko hata enzi za JK! Sasa sijui wewe kapuku unashangalia nini!!
 
Mnyetishaji anaseme kwa hali na mali matajiri wanaumia sana kwani wamebanwa kila njia wanaangalia nani wa kumuunga mkono agombee kwa njia yeyote Ile by 2020 basi inaonekana ndani ya CCM watajaribu nje,

Heko Rais Wetu shupavu kaba hapo hapo yaan usilegeze kaba walipe kodi,

Jina la mnyetishaji JM , anatokea idara nyeti, lakin Magufuli kalishtukia mapema sana hata wanaohamia CCM wanachunguzwa kabla, kuna watu wengi wanapenda kuhamia CCM wamekataliwa
Mkiamka hamna hela mnakuwa wajinga kweli kweli!
 
Unacheka au umekanyaga kaa la moto? Hivini binadamu wa aina gani wewe unayefurahia kufukarishwa? Unaijua trilioni moja na nusu inatosha kukufanyia nini katika maisha yako na ukoo wako? Sema unaumia sana kuliko wale wanaolia kwa sauti maanake tangu abane umekuwa mtu wa shida mingi huenda hata mkeo kakukimbia kwani huna mbinu za kurindima na midundo mipya ya unayemsifu! Kazana kupiga miayo!
 
Leo naona nyuzi za CCM kujilipua zimeanza ku-trend. Kunani huko chamani au ndio kuna wanaotafutwa? Walisema "Give a dog a bad name and hang it" Tulisha ambiwa ukiwa msaliti huta "survive", haufai kuishi. Kule Pemba tumemsikia katibu mkuu akiwaonya wanao payuka. Huko kusini tayari wako 17 na shangazi zao wanasubiri rungu wakati ukifika. Kana kwamba haitoshi Britannica karuka na Membe leo.
Kumekucha...jogoo kapoteza majira sasa anawika saa 4 usiku
 
Mnyetishaji anaseme kwa hali na mali matajiri wanaumia sana kwani wamebanwa kila njia wanaangalia nani wa kumuunga mkono agombee kwa njia yeyote Ile by 2020 basi inaonekana ndani ya CCM watajaribu nje,

Heko Rais Wetu shupavu kaba hapo hapo yaan usilegeze kaba walipe kodi,

Jina la mnyetishaji JM , anatokea idara nyeti, lakin Magufuli kalishtukia mapema sana hata wanaohamia CCM wanachunguzwa kabla, kuna watu wengi wanapenda kuhamia CCM wamekataliwa
Ulikuwa unkimbizwa wakati unaandika?hata havieleweki.
 
Hakuna vijana waliojiona wana hati miliki na ccm kama Mwigulu na Nape walijisahau sana na bado hadi 2020 tutajua tu. Hivi cck kilikufaga kile chama?
 
Mnyetishaji anaseme kwa hali na mali matajiri wanaumia sana kwani wamebanwa kila njia wanaangalia nani wa kumuunga mkono agombee kwa njia yeyote Ile by 2020 basi inaonekana ndani ya CCM watajaribu nje,

Heko Rais Wetu shupavu kaba hapo hapo yaan usilegeze kaba walipe kodi,

Jina la mnyetishaji JM , anatokea idara nyeti, lakin Magufuli kalishtukia mapema sana hata wanaohamia CCM wanachunguzwa kabla, kuna watu wengi wanapenda kuhamia CCM wamekataliwa
Hueleweki umelenga kitu gani .
 
Mnyetishaji anaseme kwa hali na mali matajiri wanaumia sana kwani wamebanwa kila njia wanaangalia nani wa kumuunga mkono agombee kwa njia yeyote Ile by 2020 basi inaonekana ndani ya CCM watajaribu nje,

Heko Rais Wetu shupavu kaba hapo hapo yaan usilegeze kaba walipe kodi,

Jina la mnyetishaji JM , anatokea idara nyeti, lakin Magufuli kalishtukia mapema sana hata wanaohamia CCM wanachunguzwa kabla, kuna watu wengi wanapenda kuhamia CCM wamekataliwa
Murkowski huyo naye hana informations za kutosha
 
Back
Top Bottom