DuhDuuh! Hatari sana, huyu mkimbizi aliwatesa sana wagombea ubunge kupitia ccm.
Mnyetishaji anaseme kwa hali na mali matajiri wanaumia sana kwani wamebanwa kila njia wanaangalia nani wa kumuunga mkono agombee kwa njia yeyote Ile by 2020 basi inaonekana ndani ya CCM watajaribu nje,
Heko Rais Wetu shupavu kaba hapo hapo yaan usilegeze kaba walipe kodi,
Jina la mnyetishaji JM , anatokea idara nyeti, lakin Magufuli kalishtukia mapema sana hata wanaohamia CCM wanachunguzwa kabla, kuna watu wengi wanapenda kuhamia CCM wamekataliwa
Wanadhani kupokonya dola ni kazi nyepesi? mtikisiko wake hauvumiliki, huyo wayemundaa mjiandae naye msije mkakimbia mtikisikoMnyetishaji anaseme kwa hali na mali matajiri wanaumia sana kwani wamebanwa kila njia wanaangalia nani wa kumuunga mkono agombee kwa njia yeyote Ile by 2020 basi inaonekana ndani ya CCM watajaribu nje,
Heko Rais Wetu shupavu kaba hapo hapo yaan usilegeze kaba walipe kodi,
Jina la mnyetishaji JM , anatokea idara nyeti, lakin Magufuli kalishtukia mapema sana hata wanaohamia CCM wanachunguzwa kabla, kuna watu wengi wanapenda kuhamia CCM wamekataliwa
Hee
Wanadhani kupokonya dola ni kazi nyepesi? mtikisiko wake hauvumiliki, huyo wayemundaa mjiandae naye msije mkakimbia mtikisiko
Waambie watapiga sana push up hadi makalio yawe flattened sloped henzlicedView attachment 842702
a e i o u
Mishale ya kusalitiana ishakaribia. Kuna watu watatoka mafichoni ilimradi tu wajw watihue maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni shida sana mkuu hawa wanasiasa sijawah na sitokuja amin kiumbe kinaotwa politishani
a e i o u