Imagine Real energy drink kama Redbull inauzwa 3000 hizi za kwetu eti 500 really?? Kuna kupona kweli hapo? Halafu mtu anaagiza na smart gin ya 2000 anapiga mixer daaahAu ndio kampeni za kuharibu biashara za watu.
Tena ngoja niende kwa mangi nipate energy drink ya bariid.
Sasa majibu muda wote mnayo mnaangalia tu watu wanabishana. Enzi zetu tulikuwa tunakunywa red bull ila tulikuwa tunasema moja tu kwa wiki,sijui tulitoa wapi hii idea.Magonjwa yasiyo ya kuambukizwa mfano moyo, kiasukari presha na saratani yanakua na risk factors nyingi ikiwemo
👉Umri
👉mtindo wa maisha
👉Genetics
Na tunajua risk factors sio chanzo cha moja kwa moja bali ni mambo ambayo ukiyafanya yanaweza kukuelekea ukapata magonjwa hayo
Mtu anaweza asiwe na umri mkubwa na mtindo wake wa maisha ni wa kawaida sio sedentary lifestyle, anapiga zoezi vizuri lakini akapata kisukari akapata pia saratani na hata (cardiac diseases) juzi tu tumesolve kesi moja mtoto wa miaka miwili ana myocardial infraction. Ila anaendelea vema
Hapo kuna factor moja imebaki ambayo ni genetics.
Kuhusu energy drinks na kuleta magonjwa ya moyo probably inaweza sababisha lakini inaingia hapo kwenye mtindo wa maisha.
Energy drink ni kwaajili ya kupunguza fatigue ikiwa kuna ulazima wa kuendelea kufanya kazi na ingredient yake kubwa ni caffeine, ambayo pia unaipata kwenye kahawa na alkaloids zingine. (kwa waliokutana na pharmacognosy wataelewa nini namaanisha )ikitumiwa kiasi sidhani kama inaweza leta ugonjwa wa moyo, na tunajua too much is harmful.
Hapo juu nimeona kuna member anakunywa energy 6 kwa siku
Wanachuo wanakunywa energy na skonzi😂 hio ndio chai pia mtu anakunywa energy drink kisha anaenda kulala😂😂 for what?
Kwa staili hio tutapona kweli?
All in all too much is harmful
Dkt. Gwajima D
Dr Restart
DR Mambo Jambo
Dr am 4 real PhD
Mnaweza ongeza jambo hapa.
Itakuwa we si unaona redbull packaging yake?! Halafu inatoka nje tofauti na hizi za kwetu.Imagine Real energy drink kama Redbull inauzwa 3000 hizi za kwetu eti 500 really?? Kuna kupona kweli hapo? Halafu mtu anaagiza na smart gin ya 2000 anapiga mixer daaah
Energy drink zina addiction mbaya sana ukizama hutokiNimesoma gazeti la Mwananchi jana lenye kichwa cha Habari ukurasa wa mbele kisemacho
Pombe, 'energy drinks' zinavyomaliza vijana
Kwa mujibu wa hili gazeti wakinukuu wataalamu wa afya wa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma ni kwamba:-
1. Vijana Wanne hadi Tisa hufika Hospital hiyo kila wiki Figo zikishindwa kufanya kazi.
2. Watanzania 10 kati ya 100 wana tatizo la Figo
3. Wahanga ni vijana umri kati ya 24-40
4. Gharama za kusafisha Figo kwa mwaka ni wastani wa TZS 31,200,000 Hadi 46,800,000 bila kuweka gharama nyingine kv usafiri
5. Energy drinks ni disaster kwenye moyo kwa mujibu daktari bingwa wa JKCI.
6. Matumizi ya vinywaji hivi yanaathiri pakubwa viungo vitatu ambavyo ni
-Ini,
- Figo na
- Moyo.
7. Wahanga wakubwa ni vijana wa kiume.
MY TAKE:
Vijana acheni pombe, taifa linawategemea. Linda afya yako. Afya ni mtaji.
Ni kama zilivyokuwa fursana. Sizioni siku hiziEnergy drink zina addiction mbaya sana ukizama hutoki
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ikifika tumboni inahamisha maini inayaweka kwenye figo nyingine inaenda kichwa cha juu inatriga button ya matusi na kuendesha bodaboda kama chiziImagine Real energy drink kama Redbull inauzwa 3000 hizi za kwetu eti 500 really?? Kuna kupona kweli hapo? Halafu mtu anaagiza na smart gin ya 2000 anapiga mixer daaah
Na ubora pia..Itakuwa we si unaona redbull packaging yake?! Halafu inatoka nje tofauti na hizi za kwetu.
Hayo magonjwa yapo sana tu lakini sio lazima kuwa chanzo ni pombe na hizo energy drink
Piga lifaru john limoja mwanawane lisipotosha jazilizia na kasichana. tunaishi mara 1, hawa wanatutisha tuHayo magonjwa yapo sana tu lakini sio lazima kuwa chanzo ni pombe na hizo energy drink
Hivi kitambaa cheupe ya tabata wameshaitengeneza baada ya kuungua?Ndo ukweli huo. Tafuta gazeti la Mwananchi la jana Machi 15, 2024 wameandika kwa kina sana...inaonekana unywaji pombe ni tatizo sana hasa kwa Vijana, ushahidi ni ukienda wikiendi Tabata, Kitambaa, Rainbow etc
Hivi kitambaa cheupe ya tabata wameshaitengeneza baada ya kuungua?Ndo ukweli huo. Tafuta gazeti la Mwananchi la jana Machi 15, 2024 wameandika kwa kina sana...inaonekana unywaji pombe ni tatizo sana hasa kwa Vijana, ushahidi ni ukienda wikiendi Tabata, Kitambaa, Rainbow etc
Huwa naenda kuangalia misambwanda tu😋😋Wanakujegea nyingine binti wa kinkiiki anataka azikwangue hela zenu kila mkizipata
Tafadhali tutaacha vyote ila sio nguruwe, tafadahal tafadhali!!Pombe, sigara, bangi, shisha, energy drinks, kutumia dawa za kutuliza maumivu hovyo, nguruwe, na ngono zembe jitahidi uviepuke
Nguruwe ana shida gani??Pombe, sigara, bangi, shisha, energy drinks, kutumia dawa za kutuliza maumivu hovyo, nguruwe, na ngono zembe jitahidi uviepuke
Na soda mara moja moja.Mkuu we unakunywa maji ya hili tu si ndio