Tetesi: Vijana aliokuja nao Lipumba wapo waliotumika na Masaburi Ubungo

Tetesi: Vijana aliokuja nao Lipumba wapo waliotumika na Masaburi Ubungo

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Kati ya vijana alioambatana nao Profesa Lipumba kuja ukumbi wa mkutano mkuu wapo ambao wametambulika kuwa wakati wa uchaguzi mkuu 2015 walitumika na Didas Masaburi katika uchaguzi wa kiti cha Ubunge Ubungo kama vijana wa kuanzisha fujo mbalimbali ikiwemo yale maandamano feki eti ya kumtaka Dr Slaa arejee nafasi yake.

Mmoja wapo aliyetambulika kwa jina moja tuu la Ayubu amekuwa akionekana mara kwa mara ofisini kwa Makonda bila kueleweka anatafuta nini.

Hii inaleta mashaka kuwa vurugu za kutaka kurejea madarakani za Lipumba ni mpango unaodhaminiwa na watu nje ya CUF na kwa makusudi maalum, ukizingatia kuwa aliachia ngazi kwa hiari yake na sio kwa kushinikizwa.
 
Tutawaumbua wafahidhina wakubwa!Lipumba aliikimbia CUF ikiwa kwenye kipindi kigumi,sasa anaenda kutafuta nin!Hizi njaa zitamtokea puani
 
Mwisho wa umbea ni haibu.

Hamuishi kusingizia watu katika matatzo yenu wenyewe....
 
Kwa taarifa nilizozipata Hamad Rashid leo alikuwa akionekana maeneo karibu na shughuli hio huku akigawa noti kwa hao vijana.

nasubiri Picha ya kuonekana kwake ili nithibitishe
 
Kiukweli CCM wako nyuma ya kuwashinikiza baadhi ya wajumbe wa cuf wadai jina la lipumba. hilo liko wazi....
 
Lipumba aliahidiwa uwaziri wa fedha endapo asiyejaribiwa atashinda!! Baada ya asiyejaribiwa kushinda hakutimiza ahadi!! Mbaya zaidi mpaka aliyefanikisha kumshawishi Lipumba bwana Dau naye akatumbuliwa!!! Imekua ni Majuto!!!
 
Wao wako kama bundi vile, hawaruki wala kulia mpaka giza liingie. Sijui ni nani aliyewaroga?
 
Mbinu za chadema kuicontrol CUF zimekauka.. Chadema sasa wanatapatapa kuliko CUF.
 
Kati ya vijana alioambatana nao Profesa Lipumba kuja ukumbi wa mkutano mkuu wapo ambao wametambulika kuwa wakati wa uchaguzi mkuu 2015 walitumika na Didas Masaburi katika uchaguzi wa kiti cha Ubunge Ubungo kama vijana wa kuanzisha fujo mbalimbali ikiwemo yale maandamano feki eti ya kumtaka Dr Slaa arejee nafasi yake.
Mmoja wapo aliyetambulika kwa jina moja tuu la Ayubu amekuwa akionekana mara kwa mara ofisini kwa Makonda bila kueleweka anatafuta nini. Hii inaleta mashaka kuwa vurugu za kutaka kurejea madarakani za Lipumba ni mpango unaodhaminiwa na watu nje ya CUF na kwa makusudi maalum, ukizingatia kuwa aliachia ngazi kwa hiari yake na sio kwa kushinikizwa.
Hahaha mpango ulisukwa Monduli kuinunua cuf imegoma
 
Tatizo sio Prof Lipumba, tatizo ni CCM na vibaraka wake... Kusudi la ccm ni kuua vyama vyote vya upinzani... CCM inatamani sana irudi maisha iliyozaliwa mwaka 1977, wakati taifa linatamani kuishi sayari mpya ya leo...

Huku Ukuta, kule Uchumi. Huku Lissu kule Kibatala. Huku nchi ya Viwanda kule kuhamia Dodoma.Huku Lugumi kule MV Dsm, Huku watumishi hewa, kule majipu.

Sahauni nchi yenye maziwa na asali
 
Tatizo sio Prof Lipumba, tatizo ni CCM na vibaraka wake... Kusudi la ccm ni kuua vyama vyote vya upinzani... CCM inatamani sana irudi maisha iliyozaliwa mwaka 1977, wakati taifa linatamani kuishi sayari mpya ya leo...

Huku Ukuta, kule Uchumi. Huku Lissu kule Kibatala. Huku nchi ya Viwanda kule kuhamia Dodoma.Huku Lugumi kule MV Dsm, Huku watumishi hewa, kule majipu.

Sahauni nchi yenye maziwa na asali
Seriously kiuchumi nchi hii inaelekea kuzimu!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kila nikimuangalia profesa namwona dk rutengwe yule dc wa morogoro, maana lipumba nje cuf hana kitu kingine anachoweza kufanya ndiyo maana sishangai japo ana elimu kubwa lakini anang'ang'ania kutumika na wanasiasa
 
Vifaranga wa Mbowe.. Mkutano wa CUF.. Wanachama wanataka demokrasia ichukue mkondo wake, watu wanataka waikwepe demokrasia.. Hii ndio gharama za demokrasia
 
Back
Top Bottom