Tetesi: Vijana aliokuja nao Lipumba wapo waliotumika na Masaburi Ubungo

Tetesi: Vijana aliokuja nao Lipumba wapo waliotumika na Masaburi Ubungo

Njaa ya lipumba iko kichwani weee ametumika kama Condom!! Wamemtelekeza hakuna cha maana alichopata! Anajiona mpuuzi!! Atafute kazi Rwanda!!
 
Kati ya vijana alioambatana nao Profesa Lipumba kuja ukumbi wa mkutano mkuu wapo ambao wametambulika kuwa wakati wa uchaguzi mkuu 2015 walitumika na Didas Masaburi katika uchaguzi wa kiti cha Ubunge Ubungo kama vijana wa kuanzisha fujo mbalimbali ikiwemo yale maandamano feki eti ya kumtaka Dr Slaa arejee nafasi yake.

Mmoja wapo aliyetambulika kwa jina moja tuu la Ayubu amekuwa akionekana mara kwa mara ofisini kwa Makonda bila kueleweka anatafuta nini.

Hii inaleta mashaka kuwa vurugu za kutaka kurejea madarakani za Lipumba ni mpango unaodhaminiwa na watu nje ya CUF na kwa makusudi maalum, ukizingatia kuwa aliachia ngazi kwa hiari yake na sio kwa kushinikizwa.

udhaifu mmojawapo ni kufikiri kila baya linalokufika limefanywa na mpinzani wako, kingine ni hili la kujifanya mnajua kufuatilia nyendo za watu mara ohh alikuwa anaonrkana mara kwa mara katika ofisi za Makonda mara sijui nini sasa niambie na wewe ulikuwa unafanya nini hapo au ulienda kuomba kazi unayodhania mwenzio kaipata?

Pia unaweza kuelezea kwa ufasaha kwanini ninyi mnauchungu zaidi ya sisi wenye chama katika kumrudisha ama kutomrudisha Lipumba?
 
Tatizo sio Prof Lipumba, tatizo ni CCM na vibaraka wake... Kusudi la ccm ni kuua vyama vyote vya upinzani... CCM inatamani sana irudi maisha iliyozaliwa mwaka 1977, wakati taifa linatamani kuishi sayari mpya ya leo...

Huku Ukuta, kule Uchumi. Huku Lissu kule Kibatala. Huku nchi ya Viwanda kule kuhamia Dodoma.Huku Lugumi kule MV Dsm, Huku watumishi hewa, kule majipu.

Sahauni nchi yenye maziwa na asali
Na bado yule mmiliki wa meli aliyoitaifisha Magufuli ameenda mahakamani kudai bilioni saba.
 
Back
Top Bottom