Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
P.W.Botha alisema ukweli kuhusu mtu mweusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya vijana alioambatana nao Profesa Lipumba kuja ukumbi wa mkutano mkuu wapo ambao wametambulika kuwa wakati wa uchaguzi mkuu 2015 walitumika na Didas Masaburi katika uchaguzi wa kiti cha Ubunge Ubungo kama vijana wa kuanzisha fujo mbalimbali ikiwemo yale maandamano feki eti ya kumtaka Dr Slaa arejee nafasi yake.
Mmoja wapo aliyetambulika kwa jina moja tuu la Ayubu amekuwa akionekana mara kwa mara ofisini kwa Makonda bila kueleweka anatafuta nini. Hii inaleta mashaka kuwa vurugu za kutaka kurejea madarakani za Lipumba ni mpango unaodhaminiwa na watu nje ya CUF na kwa makusudi maalum, ukizingatia kuwa aliachia ngazi kwa hiari yake na sio kwa kushinikizwa.
Kuna kila Namna inahitajika wasomi kujiangalia katika kufanya maamuzi maana wengi wanajishusha thamaniKila nikimuangalia profesa namwona dk rutengwe yule dc wa morogoro, maana lipumba nje cuf hana kitu kingine anachoweza kufanya ndiyo maana sishangai japo ana elimu kubwa lakini anang'ang'ania kutumika na wanasiasa
Wewe ndo mmojawapo wa hao vijanaMwisho wa umbea ni haibu...
Hamuishi kusingizia watu katika matatzo yenu wenyewe....
mengi tutayasikia ila mwisho wa siku unafiki uhaini usaliti matokeo yake ni aibuKati ya vijana alioambatana nao Profesa Lipumba kuja ukumbi wa mkutano mkuu wapo ambao wametambulika kuwa wakati wa uchaguzi mkuu 2015 walitumika na Didas Masaburi katika uchaguzi wa kiti cha Ubunge Ubungo kama vijana wa kuanzisha fujo mbalimbali ikiwemo yale maandamano feki eti ya kumtaka Dr Slaa arejee nafasi yake.
Mmoja wapo aliyetambulika kwa jina moja tuu la Ayubu amekuwa akionekana mara kwa mara ofisini kwa Makonda bila kueleweka anatafuta nini. Hii inaleta mashaka kuwa vurugu za kutaka kurejea madarakani za Lipumba ni mpango unaodhaminiwa na watu nje ya CUF na kwa makusudi maalum, ukizingatia kuwa aliachia ngazi kwa hiari yake na sio kwa kushinikizwa.
hapa nakuaminLipumba aliahidiwa uwaziri wa fedha endapo asiyejaribiwa atashinda!! Baada ya asiyejaribiwa kushinda hakutimiza ahadi!! Mbaya zaidi mpaka aliyefanikisha kumshawishi Lipumba bwana Dau naye akatumbuliwa!!! Imekua ni Majuto!!!
Huyu kumbe Naye ni Professor Uchwara!Mchawi katumbuliwa kwa demokrasia 92% hawamtaki Lipumba View attachment 385611
CHADEMA WANAJUWA WAZI AKITOKA TU LIPUMBA ITAKUWA RAHISI KUITEKA MWAMBAO AMBAKO HAWAKUBALIKIKichekesho wanaompinga lipumba ukiwafuatilia wana element za kiuchadema...
Kwa hiyo wao ndio walinshawishi Lipumba ajiuzulu? Ccm mnapenda sana kujiingiza kwenye mambo ya ndani ya vyama vingine. Sasa hivi professa uchwara ameshakuwa dili kwenu.CHADEMA WANAJUWA WAZI AKITOKA TU LIPUMBA ITAKUWA RAHISI KUITEKA MWAMBAO AMBAKO HAWAKUBALIKI