Tetesi: Vijana aliokuja nao Lipumba wapo waliotumika na Masaburi Ubungo

Njaa ya lipumba iko kichwani weee ametumika kama Condom!! Wamemtelekeza hakuna cha maana alichopata! Anajiona mpuuzi!! Atafute kazi Rwanda!!
 

udhaifu mmojawapo ni kufikiri kila baya linalokufika limefanywa na mpinzani wako, kingine ni hili la kujifanya mnajua kufuatilia nyendo za watu mara ohh alikuwa anaonrkana mara kwa mara katika ofisi za Makonda mara sijui nini sasa niambie na wewe ulikuwa unafanya nini hapo au ulienda kuomba kazi unayodhania mwenzio kaipata?

Pia unaweza kuelezea kwa ufasaha kwanini ninyi mnauchungu zaidi ya sisi wenye chama katika kumrudisha ama kutomrudisha Lipumba?
 
Na bado yule mmiliki wa meli aliyoitaifisha Magufuli ameenda mahakamani kudai bilioni saba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…