wakatishe tamaa vijaa wenzio hali ya kua hukusema uongo upo wapi toa ushahidi kua nilichokiongea ni uongosi kweli tani 17 uongo kilimo cha kwenye makaratasi acha uongo kama ingekuwa rahisi hivyo nadhan wengi wangekuwa matajiri
Maeneo ya kusini Lindi, Mtwara, Ruvuma, Songea, Masasi, Nachingwea, Tandahimba, Nadwani, Mweru, Newala au wapi?Maeneo ya kusini heka kumi nimenunua kwa million 1 tu
Achana naye wengi hawaamini kuwa kilimo ni fursawakatishe tamaa vijaa wenzio hali ya kua hukusema uongo upo wapi toa ushahidi kua nilichokiongea ni uongo
Barikiwa mkuu kwa kushare nasi hii: But nawakumbusha wadau kuwa Kila kitu hapa dunia kinaweza kufaa kukupa faida, LAKINI si kila kitu kimstahili kila mtu kumpa faida.. (Mkumbo ni shimo la hasara)..Leo ningependa kuwapa zawadi vijana wenzangu watizame hii fursa watakuja kunishukuru badae
Tatizo la vijana tulio wengi ni kuharakia maisha tunapenda kupata leo leo, jambo ambalo linapelekea kua na maisha magumu sana kila siku na tunaishia kufa maskini
Niwachache sanna wanaofanikiwa kwa shortcut na shortcut zinatugharimu sanna kwanini usitumie hii fursa
Maeneo ya kusini heka kumi nimenunua kwa million 1 tu
Nilichofanya nimesafisha shamba na kupanda mikorosho 490
Kisha nikawakatia vipande wana kijiji nikawambia limeni eneo hili bure kwa lengo la kulinda mikorosho
mwaka jana ndio ilikua mwaka wa nne tangu nipande mikorosho, nimekwenda kuvuna korosho tani 17 na nikauza kwa bei ya elf 1500 kuwauzia serikali ambao hua na maghala ya kununua korosho karibu na shamba langu la mikorosho nimelipwa mil 25
Nimewaza sanna tunahangaika na kutaka kukaa mjini tu ila fursa zipo na zipo nyingi zinazofanana na hizi
Asanteni
mtwara, lindi, masasi, nachingwea tandahimba newala huko kwengine sijuiMaeneo ya kusini Lindi, Mtwara, Ruvuma, Songea, Masasi, Nachingwea, Tandahimba, Nadwani, Mweru, Newala au wapi?
bei ikiwa mbaya basi ni 1500 ikiwa nzuri mpaka elf 3Korosho zao la kisiasa madalali wengi kuliko wakulima wenyewe bora ungepanda mitu ata benk wangekupa mkopo mkuu kama una hati ya kimila lakini korosho mwaka huu kilo Shiling 980,
Million 1 kwa ekari 10 maana yake kila eka ni 100,000Hio milioni sasa Iko wapi??
nenda kata kuna mikopo ya vijana kaombe utapewa [emoji3]Hio milioni sasa Iko wapi??
Hawatoitoi tu km huna connection hupatinenda kata kuna mikopo ya vijana kaombe utapewa [emoji3]
Swali zuri sana hiliMkuu mkorosho tangu kupandwa hadi kuvunwa inachukua miaka mingapi
Kwa hio kila eraki ulipanda mikoroshi mingapi mingapi kwenye hio 490?mtwara, lindi, masasi, nachingwea tandahimba newala huko kwengine sijui
Swali zuri hiliKwa kua umeamua kutupa dili basi fafanua vizuri ili tujue tunaanzia wapi,
Shamba umesema Milion 1
Mbegu?
Mbolea?
Palizi?
Dawa?
Muda wa kupanda?
Muda wa Mavuno?
Tupe mchanganuo mzuri tujiandae.
Ukweli kabisa ukifuata mkumbo mbele kuna majutoMkumbo ni shimo la hasara
Fafanua vizuri ulifanyajefanyaje maana hauupandi tu mkorosho alafu ukasubiri mavuno baada ya mwaka au miaka 2, kuna gharama zingine haujazitaja hapawakatishe tamaa vijaa wenzio hali ya kua hukusema uongo upo wapi toa ushahidi kua nilichokiongea ni uongo