Vijana angalieni fursa hii

Barikiwa mkuu kwa kushare nasi hii: But nawakumbusha wadau kuwa Kila kitu hapa dunia kinaweza kufaa kukupa faida, LAKINI si kila kitu kimstahili kila mtu kumpa faida.. (Mkumbo ni shimo la hasara)..
 
Korosho zao la kisiasa madalali wengi kuliko wakulima wenyewe bora ungepanda mitu ata benk wangekupa mkopo mkuu kama una hati ya kimila lakini korosho mwaka huu kilo Shiling 980,
 
Mkuu mkorosho tangu kupandwa hadi kuvunwa inachukua miaka mingapi
 
Kwa kua umeamua kutupa dili basi fafanua vizuri ili tujue tunaanzia wapi,
Shamba umesema Milion 1
Mbegu?
Mbolea?
Palizi?
Dawa?
Muda wa kupanda?
Muda wa Mavuno?
Tupe mchanganuo mzuri tujiandae.
Swali zuri hili
 
wakatishe tamaa vijaa wenzio hali ya kua hukusema uongo upo wapi toa ushahidi kua nilichokiongea ni uongo
Fafanua vizuri ulifanyajefanyaje maana hauupandi tu mkorosho alafu ukasubiri mavuno baada ya mwaka au miaka 2, kuna gharama zingine haujazitaja hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…