Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kaacha gepu wazi hata gharama za mikoroshi 490 hajataja mkorosho mmoja unauzwaje?Mkuu garama za shamba na mbegu zilifikia kiasi gani? Je ni vipi uvune milion25 kwa miaka minne?
Hatolijibu,Swali zuri hili
Samaki waingie demani au sio? 😂Hatolijibu,
Ukisoma btn the lines kuna nyavu imetupwa hapo wanasubiriwa samaki wanase
NakaziaVipicha vya before na after uwa vinahamasisha
ndio nilipanda mikorosho miwili miwili kila sehemuMillion 1 kwa ekari 10 maana yake kila eka ni 100,000
Alipanda na akalivuna mikorosho 490 akapata million 25 ndani ya miaka minne tu,
inaanza kuazaa kuanzia miaka mitatu na kuanza kuchanganya kuongezeka uzao kadri inavyokuaMkuu mkorosho tangu kupandwa hadi kuvunwa inachukua miaka mingapi
kwa kila ekari nilipanda mikorosho 50 , yani nimepanda miwili miwili sehemu 25 kwa hio 25 mara 2 ni 50Kwa hio kila eraki ulipanda mikoroshi mingapi mingapi kwenye hio 490?
alitumia watu huyo wakamtapeli, biashara ya kilimo jitume usijidanye boss hautaambulia chochoteMIKOROSHO!!!Kuna jamaa yangu alichakaa
mi sijanunua miche nililwenda kwa mtu ambae ana mikorosho inazaa sana nikanunua korosho kubwa kubwa nikapanda nikaenda baada ya wiki tatu ikachipua kuna baadhi kama 15 haikuchipua nikapanda tena ikachipiagharama za miche 490 tupe
Bei ya kila mkorosho ulinunua bei gani?kwa kila ekari nilipanda mikorosho 50 , yani nimepanda miwili miwili sehemu 25 kwa hio 25 mara 2 ni 50
Jamaa alishika hadi rato labda unambie ni mkono wa mtu.itoshe kusema tulimpatiza jina la Mzee mkoroshoalitumia watu huyo wakamtapeli, biashara ya kilimo jitume usijidanye boss hautaambulia chochote
Akikujibu nitagKwa kua umeamua kutupa dili basi fafanua vizuri ili tujue tunaanzia wapi,
Shamba umesema Milion 1
Mbegu?
Mbolea?
Palizi?
Dawa?
Muda wa kupanda?
Muda wa Mavuno?
Tupe mchanganuo mzuri tujiandae.
mi sijanunua miche nililwenda kwa mtu ambae ana mikorosho inazaa sana nikanunua korosho kubwa kubwa nikapanda nikaenda baada ya wiki tatu ikachipua kuna baadhi kama 15 haikuchipua nikapanda tena ikachipia
hakuna mbolea yoyote nilioweka ardhi yake nzuri huku,kuna swali hapo jamaa amekuuliza hujalijibu, kuhusu mbolea palizi nk mchanganuo wake upoje