Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wasiojielewa wa Uvccm kama wewe bila shaka ndiyo uliomaanisha! Ila siyo wale wahitimu wa vyuo waliokosa ajira na wakati huo huo wakiendelea kulimbikiziwa riba kandamizi ya 6% kila mwaka na Bodi ya Mikopo.
Vinaja tupo na jpm kama kawaida mitano tenaHii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
View attachment 1600640
Vinaja tupo na jpm kama kawaida mitano tenaHii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
View attachment 1600640
Yeah yangu ataipataUmezungumza vyema kuwa utampa kura yako.
KabisaaaUbongo wako umesinyaa, usimletee chp politics kila mtu
Unafiki na kujipendekeza ni tatizo , unachokitafuta hutokipata mind your own Business broHii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
View attachment 1600640
Huu ni uongo wa kiwango cha banda la kufugia nguruwe, onesha ni mbunge yupi alinyimwa, alipangiwa matumizi ama alicheleweshwa kuchukua fedha hizo. HakunaaaaHizo pesa mbunge hawezi kuzitoa hata alie na kusaga meno! kama mkurugenzi na mweka hazina wa halmashauri hawajaridhia!! wao ndio wanaweza kutoa wakitaka au kwa maelekezo toka juu!! Je hili unalielewa?
Uliona wapi madiwani wanapangia mipango mfuko wa jimbo?Hii ya pesa ya jimbo ililetwa na Rais JPM katika kuchafua wabunge wa Upinzani. Hizi pesa zinakwenda kwenye baraza la madiwani na kupangiwa shughuli na sio kama mbunge anapewa akatanua na vimada
Ndio kwa sababu Mbunge ni Diwani pia. Kabla hamjavuruga mambo ilikuwa kwamba hiyo pesa ilija madiwani wanapiga kura kuchagua ikafanye mradi gani.Uliona wapi madiwani wanapangia mipango mfuko wa jimbo?
Sawa sawa. Nenda kafanye utafiti kisha urudi.Hilo halijawahi kutokea popote