mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,734
- 1,616
Weka evidence!Nikafanye utafiti wapi?. Nakuambia with 100% confidence and evidence. Acha story za vijiweni. We work with facts
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka evidence!Nikafanye utafiti wapi?. Nakuambia with 100% confidence and evidence. Acha story za vijiweni. We work with facts
Hiyo ndiyo evidence?Nenda kwenye duka la vitabu vya serikali ukanunue vitabu vya kanuni za uendeshaji wa mabaraza ya madiwani, mimi natumia kanuni hizo kwenye utendaji wangu wa siku za kazi
Labda umoja wa vijana wa ccm.Hii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
View attachment 1600640
Mm mwenyew namshangaa huyu jamaa maan cjawah kuwah kuona wabunge wakilalamika kuwa wananyimwa hela za mifuko ya jimbo na wakurugenzi wa halmashauri 🤔🤔🤔Huu ni uongo wa kiwango cha banda la kufugia nguruwe, onesha ni mbunge yupi alinyimwa, alipangiwa matumizi ama alicheleweshwa kuchukua fedha hizo. Hakunaaaa