VIJANA, CHADEMA inawapoteza, rudini CCM au jiungeni na vyama vya upinzani visivyo vya kitapeli

VIJANA, CHADEMA inawapoteza, rudini CCM au jiungeni na vyama vya upinzani visivyo vya kitapeli

Chris Lukosi

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
4,583
Reaction score
2,944
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku zinavyozidi kwenda ndio Chadema inavyozidi kuyeyuka kama barafu kwenye jua kali.

Wengi tumeshuhudia matamko kila kukicha kutoka kwa makamanda na viongozi, wote wakitofautiana na kutoana kamasi bila kuoneana aibu.

Ni mara nyingi tumekuwa tukiwaasa vijana wenzetu muachane na hiki chama cha makanjanja wanaotumia migongo yenu kujipatia riziki kwa kujichotea ruzuku na kujikopesha mamilioni kila kukicha na sasa mmeanza kuona wenyewe tuliyowaambia. Mimi niliyaona haya muda mrefu na nikakimbia mapema kabisa na sasa niko nyumbani ambako hakuna ukabila, udini wala ukanjanja.

Ni ushauri wangu tu kwa vijana muondoke huko kbla hamjakuja patwa na stress au mishtuko mikubwa hapo 2015 wakati wenyewe wenye chama wameishajichotea mihela ya kutosha. Na toka wachaguliwe hakuna wanachokifanya zaidi ya kuwapelekesha kwenye vurugu na maandamano ambayo sasa wameona mmeshtuka waemeanza katabia ka kuzira bunge na kuzushia watu vifo.

Sio lazima urudi CCM, unaweza kwenda NCCR MAGEUZI, ACT nk... ondokeni huko kabla hamjapigwa vitofa.

SAA YA KUJITAMBUA NI SASA...
editoon.jpg
 
CCM ianze kwanza kusaidia vijana 10,800 walioitwa kwenye usaili uhamiaji maana ni bomu la kujailipua chama
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku zinavyozidi kwenda ndio Chadema inavyozidi kuyeyuka kama barafu kwenye jua kali.

Wengi tumeshuhudia matamko kila kukicha kutoka kwa makamanda na viongozi, wote wakitofautiana na kutoana kamasi bila kuoneana aibu.

Ni mara nyingi tumekuwa tukiwaasa vijana wenzetu muachane na hiki chama cha makanjanja wanaotumia migongo yenu kujipatia riziki kwa kujichotea ruzuku na kujikopesha mamilioni kila kukicha na sasa mmeanza kuona wenyewe tuliyowaambia. Mimi niliyaona haya muda mrefu na nikakimbia mapema kabisa na sasa niko nyumbani ambako hakuna ukabila, udini wala ukanjanja.

Ni ushauri wangu tu kwa vijana muondoke huko kbla hamjakuja patwa na stress au mishtuko mikubwa hapo 2015 wakati wenyewe wenye chama wameishajichotea mihela ya kutosha. Na toka wachaguliwe hakuna wanachokifanya zaidi ya kuwapelekesha kwenye vurugu na maandamano ambayo sasa wameona mmeshtuka waemeanza katabia ka kuzira bunge na kuzushia watu vifo.

Sio lazima urudi CCM, unaweza kwenda NCCR MAGEUZI, ACT nk... ondokeni huko kabla hamjapigwa vitofa.

SAA YA KUJITAMBUA NI SASA...
editoon.jpg

Kumbe ukitaka hela za bure hautakiwi hata kuwa innovative kidogo, wewe watukuze wakama zako!!!! Ama kweli....!!!
 
Mkuu we uliludi kwa sababu ya kibiashara na sisi tukipata sababu tutaludi tu
 
Hata wana wa Israel wakati walipokutana na mateso na shida walitamani kurudi Misri, ila wale waliokuwa wakakamavu na wavumilivu waliiona nchi ya ahadi. Vijana tunajua kuwa kazi inayofanywa na Chadema ya kuleta ukombozi wa kweli sio ndogo, wapo wachache watakaokata tamaa lakini wengi wetu lazima tutapambana na hila za Mwigulu Savimbi na usaliti wa Zitto na Dr Kitila hadi ukombozi upatikane.

Nani arudi CCM inayotunyima haki ya kupata hata ajira tu, umeme shida miaka 50 ya uhuru, maji tunachota kwa punda, hatujawahi kuoga huku tumesimama, dawa hospital hakuna, shule hazina vitabu wala madawati watoto wanakaa chini. Heri mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi CCM
 
nikionaga uzi za huyu mshikaji nawahi tu kuangalia replies!cdm ilipifika nigumu kuieleminate!
 
wewe Mleta Mada jitambue kwanza ndio utueleze hayo Mambo mengine wewe hapo ulipo umekalishwa hapo Lumumba unaomba uje ulipwe ujira wako wa buku sana alafu ndio unaomba vijana warudi ccm wakati wameshajitambua na gamba wamevua tunakomboa nchi tuelezeni zile bil 200 mlizokwapua hapo bot zipo wapi Ufisadi wa kila namna namikataba ya ajabu ajabu tuelezeni imekuaje
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku zinavyozidi kwenda ndio Chadema inavyozidi kuyeyuka kama barafu kwenye jua kali.

Wengi tumeshuhudia matamko kila kukicha kutoka kwa makamanda na viongozi, wote wakitofautiana na kutoana kamasi bila kuoneana aibu.

Ni mara nyingi tumekuwa tukiwaasa vijana wenzetu muachane na hiki chama cha makanjanja wanaotumia migongo yenu kujipatia riziki kwa kujichotea ruzuku na kujikopesha mamilioni kila kukicha na sasa mmeanza kuona wenyewe tuliyowaambia. Mimi niliyaona haya muda mrefu na nikakimbia mapema kabisa na sasa niko nyumbani ambako hakuna ukabila, udini wala ukanjanja.

Ni ushauri wangu tu kwa vijana muondoke huko kbla hamjakuja patwa na stress au mishtuko mikubwa hapo 2015 wakati wenyewe wenye chama wameishajichotea mihela ya kutosha. Na toka wachaguliwe hakuna wanachokifanya zaidi ya kuwapelekesha kwenye vurugu na maandamano ambayo sasa wameona mmeshtuka waemeanza katabia ka kuzira bunge na kuzushia watu vifo.

Sio lazima urudi CCM, unaweza kwenda NCCR MAGEUZI, ACT nk... ondokeni huko kabla hamjapigwa vitofa.

SAA YA KUJITAMBUA NI SASA...
editoon.jpg


Mbona wewe umepotelea UK ni sababu ya Chadema ?Uliacha kazi ya ma CCM yau upolisi na sasa unabeba box UK sababu ni Chadema ?Sasa unapiga pesa CCM unawagawia vijana wanao pigikika chini ya CCM?
 
Kuna tamko lingine linakuja si muda mrefu kutoka Ufipa. Limesheheni lawama kwa CCM kwamba limewanunua viongozi wao. Sasa kama mnaviongozi wanaonunulika hicho ni chama kweli? Uchuro!
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku zinavyozidi kwenda ndio Chadema inavyozidi kuyeyuka kama barafu kwenye jua kali.

Wengi tumeshuhudia matamko kila kukicha kutoka kwa makamanda na viongozi, wote wakitofautiana na kutoana kamasi bila kuoneana aibu.

Ni mara nyingi tumekuwa tukiwaasa vijana wenzetu muachane na hiki chama cha makanjanja wanaotumia migongo yenu kujipatia riziki kwa kujichotea ruzuku na kujikopesha mamilioni kila kukicha na sasa mmeanza kuona wenyewe tuliyowaambia. Mimi niliyaona haya muda mrefu na nikakimbia mapema kabisa na sasa niko nyumbani ambako hakuna ukabila, udini wala ukanjanja.

Ni ushauri wangu tu kwa vijana muondoke huko kbla hamjakuja patwa na stress au mishtuko mikubwa hapo 2015 wakati wenyewe wenye chama wameishajichotea mihela ya kutosha. Na toka wachaguliwe hakuna wanachokifanya zaidi ya kuwapelekesha kwenye vurugu na maandamano ambayo sasa wameona mmeshtuka waemeanza katabia ka kuzira bunge na kuzushia watu vifo.

Sio lazima urudi CCM, unaweza kwenda NCCR MAGEUZI, ACT nk... ondokeni huko kabla hamjapigwa vitofa.

SAA YA KUJITAMBUA NI SASA...
editoon.jpg

hiyo barafu isiyokwisha ni ya antaktic au mbona mnasumbuka ivyo na chadm zungumzia vijana 11,000 kwenda kugombea nafasi 70 za uhamiaji apo ndo tutakuelewa suala la kuhamia ccm litatupatia ajila ?ivi mnakaa ulaya ipi ambayo haiwafanyi kufikiri tofauti
 
Mchungaji christopha unasalimiwa na bwana Godbless lema
 
Wakuu seriously, hivi huyu jamaa kashaziwakilisha zile pesa za rambirambi kwa familia ya Marehemu Mwangosi? (RIP)
 
Back
Top Bottom