VIJANA, CHADEMA inawapoteza, rudini CCM au jiungeni na vyama vya upinzani visivyo vya kitapeli

VIJANA, CHADEMA inawapoteza, rudini CCM au jiungeni na vyama vya upinzani visivyo vya kitapeli

Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku zinavyozidi kwenda ndio Chadema inavyozidi kuyeyuka kama barafu kwenye jua kali.

Wengi tumeshuhudia matamko kila kukicha kutoka kwa makamanda na viongozi, wote wakitofautiana na kutoana kamasi bila kuoneana aibu.

Ni mara nyingi tumekuwa tukiwaasa vijana wenzetu muachane na hiki chama cha makanjanja wanaotumia migongo yenu kujipatia riziki kwa kujichotea ruzuku na kujikopesha mamilioni kila kukicha na sasa mmeanza kuona wenyewe tuliyowaambia. Mimi niliyaona haya muda mrefu na nikakimbia mapema kabisa na sasa niko nyumbani ambako hakuna ukabila, udini wala ukanjanja.

Ni ushauri wangu tu kwa vijana muondoke huko kbla hamjakuja patwa na stress au mishtuko mikubwa hapo 2015 wakati wenyewe wenye chama wameishajichotea mihela ya kutosha. Na toka wachaguliwe hakuna wanachokifanya zaidi ya kuwapelekesha kwenye vurugu na maandamano ambayo sasa wameona mmeshtuka waemeanza katabia ka kuzira bunge na kuzushia watu vifo.

Sio lazima urudi CCM, unaweza kwenda NCCR MAGEUZI, ACT nk... ondokeni huko kabla hamjapigwa vitofa.

SAA YA KUJITAMBUA NI SASA...
editoon.jpg

Role model wa vijana kutoka upinzani ni kina Shonza,Mwampamba, Tambwe Hizza and the like.Mafanikio yao kisiasa,kijamii na kiutamaduni na kiuchumi tangu wajiunge na CCM bado hayajaonekana. TUnaSUbiRI.
 
hiyo barafu isiyokwisha ni ya antaktic au mbona mnasumbuka ivyo na chadm zungumzia vijana 11,000 kwenda kugombea nafasi 70 za uhamiaji apo ndo tutakuelewa suala la kuhamia ccm litatupatia ajila ?ivi mnakaa ulaya ipi ambayo haiwafanyi kufikiri tofauti
Ina maana huna macho au?

Huoni chama kinavyopotea ,paka inabidi kisafirie nyota ya UKAWA?
 
Hey lukosi, Je umeonana na wasira, shonza, kinana, na ff hivi karibuni? Nafikiri walikutumia picha yao ya pamoja!
 
Mungu nisadie mimi na kizazi changu tuichukie ccm kama ninavyo ichukia maisha yetu yote na asitokee mtu kwenye kizazi changu akaipenda ccm na mwenyezi Mungu unisaidie ameni Mungu Ibariki Cdm Mungu Ibariki Tanganyika
 
Mbona wewe tangu urudi sisi M hujabadilika? Mbona umeshindwa hata kurudi toka ulaya?
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku zinavyozidi kwenda ndio Chadema inavyozidi kuyeyuka kama barafu kwenye jua kali.

Wengi tumeshuhudia matamko kila kukicha kutoka kwa makamanda na viongozi, wote wakitofautiana na kutoana kamasi bila kuoneana aibu.

Ni mara nyingi tumekuwa tukiwaasa vijana wenzetu muachane na hiki chama cha makanjanja wanaotumia migongo yenu kujipatia riziki kwa kujichotea ruzuku na kujikopesha mamilioni kila kukicha na sasa mmeanza kuona wenyewe tuliyowaambia. Mimi niliyaona haya muda mrefu na nikakimbia mapema kabisa na sasa niko nyumbani ambako hakuna ukabila, udini wala ukanjanja.

Ni ushauri wangu tu kwa vijana muondoke huko kbla hamjakuja patwa na stress au mishtuko mikubwa hapo 2015 wakati wenyewe wenye chama wameishajichotea mihela ya kutosha. Na toka wachaguliwe hakuna wanachokifanya zaidi ya kuwapelekesha kwenye vurugu na maandamano ambayo sasa wameona mmeshtuka waemeanza katabia ka kuzira bunge na kuzushia watu vifo.

Sio lazima urudi CCM, unaweza kwenda NCCR MAGEUZI, ACT nk... ondokeni huko kabla hamjapigwa vitofa.

SAA YA KUJITAMBUA NI SASA...
editoon.jpg

Wewe sio raia wa Tanzania ulitukimbia na shida ukachukua uraia wa wakoloni, Tuache na nchi, sisi ndio tunajua wapi bora. Raia wa kigeni haruhusiwi kupiga kura wala kupigiwa kura hivyo hujui chaguzi zetu.

Wazalendo tupo na nchi yetu mpaka mwisho.
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku zinavyozidi kwenda ndio Chadema inavyozidi kuyeyuka kama barafu kwenye jua kali.

Wengi tumeshuhudia matamko kila kukicha kutoka kwa makamanda na viongozi, wote wakitofautiana na kutoana kamasi bila kuoneana aibu.

Ni mara nyingi tumekuwa tukiwaasa vijana wenzetu muachane na hiki chama cha makanjanja wanaotumia migongo yenu kujipatia riziki kwa kujichotea ruzuku na kujikopesha mamilioni kila kukicha na sasa mmeanza kuona wenyewe tuliyowaambia. Mimi niliyaona haya muda mrefu na nikakimbia mapema kabisa na sasa niko nyumbani ambako hakuna ukabila, udini wala ukanjanja.

Ni ushauri wangu tu kwa vijana muondoke huko kbla hamjakuja patwa na stress au mishtuko mikubwa hapo 2015 wakati wenyewe wenye chama wameishajichotea mihela ya kutosha. Na toka wachaguliwe hakuna wanachokifanya zaidi ya kuwapelekesha kwenye vurugu na maandamano ambayo sasa wameona mmeshtuka waemeanza katabia ka kuzira bunge na kuzushia watu vifo.

Sio lazima urudi CCM, unaweza kwenda NCCR MAGEUZI, ACT nk... ondokeni huko kabla hamjapigwa vitofa.

SAA YA KUJITAMBUA NI SASA...
editoon.jpg

naipenda sana chadema. Now and for always!
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku zinavyozidi kwenda ndio Chadema inavyozidi kuyeyuka kama barafu kwenye jua kali.

Wengi tumeshuhudia matamko kila kukicha kutoka kwa makamanda na viongozi, wote wakitofautiana na kutoana kamasi bila kuoneana aibu.

Ni mara nyingi tumekuwa tukiwaasa vijana wenzetu muachane na hiki chama cha makanjanja wanaotumia migongo yenu kujipatia riziki kwa kujichotea ruzuku na kujikopesha mamilioni kila kukicha na sasa mmeanza kuona wenyewe tuliyowaambia. Mimi niliyaona haya muda mrefu na nikakimbia mapema kabisa na sasa niko nyumbani ambako hakuna ukabila, udini wala ukanjanja.

Ni ushauri wangu tu kwa vijana muondoke huko kbla hamjakuja patwa na stress au mishtuko mikubwa hapo 2015 wakati wenyewe wenye chama wameishajichotea mihela ya kutosha. Na toka wachaguliwe hakuna wanachokifanya zaidi ya kuwapelekesha kwenye vurugu na maandamano ambayo sasa wameona mmeshtuka waemeanza katabia ka kuzira bunge na kuzushia watu vifo.

Sio lazima urudi CCM, unaweza kwenda NCCR MAGEUZI, ACT nk... ondokeni huko kabla hamjapigwa vitofa.

SAA YA KUJITAMBUA NI SASA...
editoon.jpg

Chris Lukosi

Huyo mzee aliyemwaga radhi mbele ya makamanda ni nani!
 
Last edited by a moderator:
Ushauri Mzuri ila ni vigumu misukule kukuelewa! Mpaka yawakute ya kuwakuta hapo 2015.

We mtunza kinyesi! Hakika CHADEMA ni chama cha kikombozi kwani kimeitoa jamii katika kundi la MISUKULE hadi sasa tunajitambua hatupelekeshi kwa kudumisha fikra za mwenyekiti watu sasa wanajua kuihoji serikali. Ahsante harakati za Wana CHADEMA endelezeni mapambano. Hatudanganyiki ng'o!
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku zinavyozidi kwenda ndio Chadema inavyozidi kuyeyuka kama barafu kwenye jua kali.

Wengi tumeshuhudia matamko kila kukicha kutoka kwa makamanda na viongozi, wote wakitofautiana na kutoana kamasi bila kuoneana aibu.

Ni mara nyingi tumekuwa tukiwaasa vijana wenzetu muachane na hiki chama cha makanjanja wanaotumia migongo yenu kujipatia riziki kwa kujichotea ruzuku na kujikopesha mamilioni kila kukicha na sasa mmeanza kuona wenyewe tuliyowaambia. Mimi niliyaona haya muda mrefu na nikakimbia mapema kabisa na sasa niko nyumbani ambako hakuna ukabila, udini wala ukanjanja.

Ni ushauri wangu tu kwa vijana muondoke huko kbla hamjakuja patwa na stress au mishtuko mikubwa hapo 2015 wakati wenyewe wenye chama wameishajichotea mihela ya kutosha. Na toka wachaguliwe hakuna wanachokifanya zaidi ya kuwapelekesha kwenye vurugu na maandamano ambayo sasa wameona mmeshtuka waemeanza katabia ka kuzira bunge na kuzushia watu vifo.

Sio lazima urudi CCM, unaweza kwenda NCCR MAGEUZI, ACT nk... ondokeni huko kabla hamjapigwa vitofa.

SAA YA KUJITAMBUA NI SASA...
editoon.jpg

...ina maana NCCR na ACT mshiko wa ESCROW nako huwa mnaupeleka?
 
Back
Top Bottom