Vijana fanya uwezavyo jitahidi uwe na uwezo wa kuongea Kiingereza

Vijana fanya uwezavyo jitahidi uwe na uwezo wa kuongea Kiingereza

David Harvey

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
2,894
Reaction score
6,020
Leo kulikuwa na usaili unafanyika katika taasisi fulani kubwa ya Marekani, vijana watatu walikuwa wamekidhi vigezo vya kuajiriwa lakini lugha ndio ilikuwa kikwazo.

CV zako zipo vizuri unashindwa vipi kuongea kingereza cha kuunga unga hata kwa dakika 3? Fursa zitaendelea kutupita hivi hivi kwa kitu kidogo tu.
 
Ile mitihani ya necta na mingine wanayopasi kwa kiwango cha juu huwa hai determine kuwa wanaweza kuongea kiingereza vizuri. Cha ajabu unaweza kuambulia four ya mwisho lakini ukawa unakitafuna vizuri kiingereza kama maji huku una division four isiyo na tija. Vijana wenyewe wakiwa shuleni ni waoga na wana aibu kujifunza kuongea tu. Wana score vizuri ma division na ma gpa lakini ni watupu kuongea kiingereza, na hii ni mpaka wakubwa wao. Shangaa boss mkubwa kuongea kiiengereza fluently mfululizo ni shughuli pevu. Wakiona wageni wamekuja ofisini wanakiimbia mbali unaachiwa uongee nao mwanzo mpaka mwisho
 
Leo kulikuwa na usaili unafanyika katika taasisi fulani kubwa ya Marekani, vijana watatu walikuwa wamekidhi vigezo vya kuajiriwa lakini lugha ndio ilikuwa kikwazo.

CV zako zipo vizuri unashindwa vipi kuongea kingereza cha kuunga unga hata kwa dakika 3? Fursa zitaendelea kutupita hivi hivi kwa kitu kidogo tu.
Mkuu naomba konekisheni
 
Back
Top Bottom