DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Baada ya kufanya utafiti , Nilichogundua ni kuwa Usipokuwa Makini unafungwa( Akili )
Na wakikufunga Akili basi Fahamu hapo wamekumaliza .
Mimi nimejionea haya Mambo yaani uchawi huu Victim au muaathirika anakuwa hafahamu chochote. Na mara nyingi watu wa hivi hutumia Muda Mwingi kukosoa Maisha ya watu wengine na kujiona wao wako sahihi.
Ebu Fatilia ukifungwa Akili unasahu lengo la wewe kuwa hai na unaanza kutukuza na kuabudu Anasa .
Uchawi hupo katika Familiya na maeneo ya uswahilini vijana kuwa makini msije mkafungwa Akili.
Na wakikufunga Akili basi Fahamu hapo wamekumaliza .
Mimi nimejionea haya Mambo yaani uchawi huu Victim au muaathirika anakuwa hafahamu chochote. Na mara nyingi watu wa hivi hutumia Muda Mwingi kukosoa Maisha ya watu wengine na kujiona wao wako sahihi.
Ebu Fatilia ukifungwa Akili unasahu lengo la wewe kuwa hai na unaanza kutukuza na kuabudu Anasa .
Uchawi hupo katika Familiya na maeneo ya uswahilini vijana kuwa makini msije mkafungwa Akili.