Vijana iepukeni zinaa

Vijana iepukeni zinaa

Hakuna tendo linalo fungus nyota kama tendo la ndoa. Fanya mapenzi na wanawake wengi ( young girls) as much as u can mkuu wachana na hizo story za kuokoteza uchochoroni anazo taka kutuletea mtoa mada
Nilitegemea utamuunga mkono, mzee wa mambo ya ad teakadabra.
 
Hakuna tendo linalo fungus nyota kama tendo la ndoa. Fanya mapenzi na wanawake wengi ( young girls) as much as u can mkuu wachana na hizo story za kuokoteza uchochoroni anazo taka kutuletea mtoa mada
Sawa mkuu ila akiwa na bad vibes nasikia unambukizwa👂
 
Wala msikaribie zinaa. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya. (Surat Al-Isra).

" Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake;ila yeye afanyaye ZINAA hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe."
 
Back
Top Bottom