chrstopher
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 275
- 558
ahahhhahKwaherini Kwaheri kwaherini Starehe tunazipenda ila mwisho wake mbaya wengi wametekea kwa kuendekeza umalaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahhhahKwaherini Kwaheri kwaherini Starehe tunazipenda ila mwisho wake mbaya wengi wametekea kwa kuendekeza umalaya.
Mmeshaanza waganga wa kusafisha nyota, akija mwanamke mzuri unataka kumsafisha nyota kwa kumuingizia dawa ukeni, kwa kutumia uume.Hakuna tendo linalo fungus nyota kama tendo la ndoa. Fanya mapenzi na wanawake wengi ( young girls) as much as u can mkuu wachana na hizo story za kuokoteza uchochoroni anazo taka kutuletea mtoa mada
Tatizo mnachanganya mapenzi na misimamo ya dini wakati hivi ni viwili tofauti na kila kimoja kilikuja kwa wakati wakeZinaa inachafua destiny (hatma ) yako.
Zinaa inamvuta kijana kwenye shimo la mauti
Zinaa zinazalisha ufukara.
Ni hayo tu, siachi kuwaasa vijana wenzangu. Mwenzenu tayari nimeshaacha zinaa.
Za kuambiwa changanya na zakoHakuna tendo linalo fungus nyota kama tendo la ndoa. Fanya mapenzi na wanawake wengi ( young girls) as much as u can mkuu wachana na hizo story za kuokoteza uchochoroni anazo taka kutuletea mtoa mada
Gonorrhea nayo inasumbua kishenzi mwanangu, usipime.hapo kwenye maukimwi dah napaogopa mnooo
Watu wasio na nguvu za kiume ni wachache sana, na sidhani kama mleta mada ni mmojawapo.Ndio maana yake Mkuu
Sahihi mkuu, zinaa huleta Mikosi na Umasikini.Zinaa inachafua destiny (hatma ) yako.
Zinaa inamvuta kijana kwenye shimo la mauti.
Zinaa zinazalisha ufukara.
Ni hayo tu, siachi kuwaasa vijana wenzangu. Mwenzenu tayari nimeshaacha zinaa.
Ukiamini hivyo na inakuwa kweliZinaa inachafua destiny (hatma ) yako.
Zinaa inamvuta kijana kwenye shimo la mauti.
Zinaa zinazalisha ufukara.
Ni hayo tu, siachi kuwaasa vijana wenzangu. Mwenzenu tayari nimeshaacha zinaa.