Vijana iepukeni zinaa

Vijana iepukeni zinaa

Hakuna tendo linalo fungus nyota kama tendo la ndoa. Fanya mapenzi na wanawake wengi ( young girls) as much as u can mkuu wachana na hizo story za kuokoteza uchochoroni anazo taka kutuletea mtoa mada
Mmeshaanza waganga wa kusafisha nyota, akija mwanamke mzuri unataka kumsafisha nyota kwa kumuingizia dawa ukeni, kwa kutumia uume.
 
Wanyama wanajamiiana kwa ajili ya kuzaliana, binadamu ameumbwa kufanya ngono kwa ajili ya kuzaliana na kujistarehesha na hapo ndipo kazi inaanzia.

Inasemekana dolpins na binadamu ndio viumbe pekee hufanya ngono kwa ajili ya kujistarehesha.

Ngono ni addiction kama ilivyo drugs, sigara, pombe n.k ndio maana wengine wanakwenda kufanyiwa matibabu kwa ajili ya sex addiction.
 
Zinaa inachafua destiny (hatma ) yako.
Zinaa inamvuta kijana kwenye shimo la mauti
Zinaa zinazalisha ufukara.
Ni hayo tu, siachi kuwaasa vijana wenzangu. Mwenzenu tayari nimeshaacha zinaa.
Tatizo mnachanganya mapenzi na misimamo ya dini wakati hivi ni viwili tofauti na kila kimoja kilikuja kwa wakati wake
 
Hakuna tendo linalo fungus nyota kama tendo la ndoa. Fanya mapenzi na wanawake wengi ( young girls) as much as u can mkuu wachana na hizo story za kuokoteza uchochoroni anazo taka kutuletea mtoa mada
Za kuambiwa changanya na zako
 
Back
Top Bottom