MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Kwa kweli kuna wakati serikali zetu huzingua pale zinatelekeza majukumu, ikiwemo hii serikali yetu ya Kenya, na ni kawaida ya sisi sote kujawa na lawama, lakini nahisi ni muhimu kwa baadhi yetu kuchukua hatua na kufanya baadhi ya mambo wenyewe.
Sifa za huyu mzee zinazidi kuzagaa dunia yote, anatajwa kila mahali na ikiendelea hivi anaweza akatunukiwa tuzo la kimataifa.
Alichokifanya, baada ya kuona serikali ya mtaa imefumbia macho masaibu ya wanakijiji, ambao walikua wanateseka kwa ukosefu wa barabara, alinyanyua jembe na kuamua kuchimba mwenyewe.
Hivyo kwa vijana ambao kutwa ni lawama na kuvaa milegezo mjini wakishinda kwenye pool table, kuna la kujifunza hapa.
Sifa za huyu mzee zinazidi kuzagaa dunia yote, anatajwa kila mahali na ikiendelea hivi anaweza akatunukiwa tuzo la kimataifa.
Alichokifanya, baada ya kuona serikali ya mtaa imefumbia macho masaibu ya wanakijiji, ambao walikua wanateseka kwa ukosefu wa barabara, alinyanyua jembe na kuamua kuchimba mwenyewe.
Hivyo kwa vijana ambao kutwa ni lawama na kuvaa milegezo mjini wakishinda kwenye pool table, kuna la kujifunza hapa.