mapema
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 640
- 1,881
Nafurahi kufikisha mwaka wa 10 siku ya leo kwenye ndoa. Nilioa kwa vigezo vyote vya dini, yaani ile hakuna ngono kabla ya ndoa.
Ilikuwa ngumu kidogo lakini kwa nguvu ya dini niliweza ingawa mwenzangu sikujua nyendo zake. Na kwa kiasi kikubwa maisha yangu ya ujana sikuruka sana kwa nia njema ya siku nikiwa kwenye ndoa itakua poa.
Baada ya ndoa na uzazi sasa nilichotarajia ni tofauti kabisa na kinachotokea. Imenipelekea kuwa mhuni fulani hivi, mtu wa wanawake sana, malaya kama kawa, safari za mbali kufuata mwanamke, wakati mke yupo karibu yangu kabisa.
Hii ni kwa sababu ya mwanamke kuwa mvivu na mzito kwenye mapenzi, yaani inakuwa rahisi kupata mapenzi nje kuliko ndani. Ndani unaomba mpaka kwa magoti lakini unaambulia patupu.
Nimejuta kutokutumia ujana wangu vyema labda saivi ningekuwa mtulivu. Vijana tumieni ujana wenu vilivyo dini zinazingua muda mwingine.
Hata hivyo bado ndoa ni nzuri.
Ilikuwa ngumu kidogo lakini kwa nguvu ya dini niliweza ingawa mwenzangu sikujua nyendo zake. Na kwa kiasi kikubwa maisha yangu ya ujana sikuruka sana kwa nia njema ya siku nikiwa kwenye ndoa itakua poa.
Baada ya ndoa na uzazi sasa nilichotarajia ni tofauti kabisa na kinachotokea. Imenipelekea kuwa mhuni fulani hivi, mtu wa wanawake sana, malaya kama kawa, safari za mbali kufuata mwanamke, wakati mke yupo karibu yangu kabisa.
Hii ni kwa sababu ya mwanamke kuwa mvivu na mzito kwenye mapenzi, yaani inakuwa rahisi kupata mapenzi nje kuliko ndani. Ndani unaomba mpaka kwa magoti lakini unaambulia patupu.
Nimejuta kutokutumia ujana wangu vyema labda saivi ningekuwa mtulivu. Vijana tumieni ujana wenu vilivyo dini zinazingua muda mwingine.
Hata hivyo bado ndoa ni nzuri.