Vijana ingieni kwenye ndoa lakini mjue yaliyopo ni kinyume kabisa na matarajio

Acha tu tuendelee kuoa na kuoana ambae hajaingia kwenye ndoa anataka kuingia kwenye ndoa aliepo kwenye ndoa anataka ajinasue kisa ni kupata kinyume na matarajio, ulitarajia dozi itakua 1×2 kwa siku 7 ila unaingia unaambiwa kila baada ya miezi mitatu au miezi 6 ni kinyume na vile ulitarajia kumbe ndoa ni zaidi ya kumbanduana na kusagamuana

Maneno hayo sio mimi niliesema nmenukuu kwa mwamba mmoja hapo juu jaribu kuangalia vizuri

Nipite nipite kwenye mlango huu wa nyuma..
 
Nzur kivip nawakati hupati unyumba
 
Ndoa cha kwanza ni ngono tu, ukininyima sex kwasababu yoyote ile ya kipuuzi tofauti n kuumwa au kuwa kwenye siku zako nakuacha bila kufkiria mara 2 tokaaa..

nikitaka ngono ukiniambia leo umechoka nakufukuza kwangu uende kwenu maana kwangu ulikuja kunihudumia hilo tendo
 
Ndo bila tendo la ndoa hamna ndoa aisee hata furaha ya ndoa haiwez kuwepo hata hamu ya nyumbani kunakua hamna
 
tutalifanyia kazi.
 
Kuoa ni kuanzia miaka 50. Wanaume tuhakikishe tunakula pisi kwa uangalifu mkubwa.

Anyway nawakumbusha mwamba Yesu hakuoa sababu alijua atatumia akili ya ziada kwa hivi viumbe
Ewaaaa kwenye wanafunzi wake hakukuwa na pisi hata moja
Naqubali,,,, at least tuoe tukiwa na miaka 62+ hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…