Vijana kenya watangaza siku 7 za hasira dhidi ya serikali

Ikaria

Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
93
Reaction score
238
Siku moja tu baada ya maandamano ya kupinga mswada wa sheria ya fedha wa mwaka 2024, vijana kupitia mitandao ya kijamii wametangaza hatua inayofuata sass, leo Ijumaa ikiwa ni kuzuru hifadhi ya maiti ya City kutoa heshima kwa mmoja wao Rex Kanyeki Masai aliyeuwawa kwa risasi jijini Nairobi.

Aidha maandamano mengine makubwa yameratibiwa kufanyika Jumanne ijayo kote nchini.

Ratiba:
 

Attachments

  • 20240621_143527.jpg
    166 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…