MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
Kimeumana!
Nimezipata za chini ya kapeti ya kwamba kuna uwezekano mkubwa wa vijana wa Dsm na wa Dodoma kuingia barabarani weekend hii au Jumatano ijayo kupinga issue ya DP World.
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Vijaaanaa vijana vijana tuko tayari kulitumikia, taifa, taifa, taifa kulitumikia Taifa Taifa Tanzania.
Dodoma = Assembling point ni pale Nyerere Squire
Dar = Ni Pale Mnazi mmoja kwenye mnara wa Mashujaa.
=========
UPDATES:
Kijana Deusdedith Soka aitisha Maandamano ya Amani tarehe 19 Juni, 2023 kuanzia Temeke kwenda Ikulu ya Magogoni kupinga mkataba kati ya DP World na TPA pamoja na kupinga Muswada wa TISS kuwekewa kinga ya kutokushtakiwa kwa makosa ya Jinai.
Deusdedith Soka afanya mkutano na waandishi wa habari kutoa maelezo kuhusiana na route itakayotumika siku ya Jumatatu, Juni 16 kwenye maandamano ya kupinga Mkataba wa Bandari kati ya Tanzaniana Dubai.
Hapa chini ni barua aliyoandika kuhusu maandamano ya Jumatatu 19, Juni 2023
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, aliandika: “@tanpol Msije kujeruhi watu waacheni tudai haki zetu kwa njia ya kistaarabu na kiungwana. Maandamano ya amani, wanasheria kuweni macho kwa askari yeyote atakayevunja Haki za binadamu utashtakiwa mwenyewe.”
Hata hivyo, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa tahadahari kwa wananchi kuhusu taarifa za kuwepo na maandamano siku ya Jumatatu Juni 19, 2023 kwenda Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam. Zaidi, soma hapa.
Habari zaidi, soma:
Nimezipata za chini ya kapeti ya kwamba kuna uwezekano mkubwa wa vijana wa Dsm na wa Dodoma kuingia barabarani weekend hii au Jumatano ijayo kupinga issue ya DP World.
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Vijaaanaa vijana vijana tuko tayari kulitumikia, taifa, taifa, taifa kulitumikia Taifa Taifa Tanzania.
Dodoma = Assembling point ni pale Nyerere Squire
Dar = Ni Pale Mnazi mmoja kwenye mnara wa Mashujaa.
=========
UPDATES:
Kijana Deusdedith Soka aitisha Maandamano ya Amani tarehe 19 Juni, 2023 kuanzia Temeke kwenda Ikulu ya Magogoni kupinga mkataba kati ya DP World na TPA pamoja na kupinga Muswada wa TISS kuwekewa kinga ya kutokushtakiwa kwa makosa ya Jinai.
Deusdedith Soka afanya mkutano na waandishi wa habari kutoa maelezo kuhusiana na route itakayotumika siku ya Jumatatu, Juni 16 kwenye maandamano ya kupinga Mkataba wa Bandari kati ya Tanzaniana Dubai.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, aliandika: “@tanpol Msije kujeruhi watu waacheni tudai haki zetu kwa njia ya kistaarabu na kiungwana. Maandamano ya amani, wanasheria kuweni macho kwa askari yeyote atakayevunja Haki za binadamu utashtakiwa mwenyewe.”
Hata hivyo, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa tahadahari kwa wananchi kuhusu taarifa za kuwepo na maandamano siku ya Jumatatu Juni 19, 2023 kwenda Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam. Zaidi, soma hapa.
Habari zaidi, soma: