Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nchi hii ya ajabu sanaKwani waliokamatwa kwa kuandamana wamehamasishwa na nani? Naona jamaa aliomba ulinzi wake peke yake!
Haya maandamano yameishia wapi MzeeKipusa ?😂Kimeumana!
Nimezipata za chini ya kapeti ya kwamba kuna uwezekano mkubwa wa vijana wa Dsm na wa Dodoma kuingia barabarani weekend hii au Jumatano ijayo kupinga issue ya DP World.
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Vijaaanaa vijana vijana tuko tayari kulitumikia, taifa, taifa, taifa kulitumikia Taifa Taifa Tanzania.
Dodoma = Assembling point ni pale Nyerere Squire
Dar = Ni Pale Mnazi mmoja kwenye mnara wa Mashujaa.
=========
UPDATES:
Kijana Deusdedith Soka aitisha Maandamano ya Amani tarehe 19 Juni, 2023 kuanzia Temeke kwenda Ikulu ya Magogoni kupinga mkataba kati ya DP World na TPA pamoja na kupinga Muswada wa TISS kuwekewa kinga ya kutokushtakiwa kwa makosa ya Jinai.
Deusdedith Soka afanya mkutano na waandishi wa habari kutoa maelezo kuhusiana na route itakayotumika siku ya Jumatatu, Juni 16 kwenye maandamano ya kupinga Mkataba wa Bandari kati ya Tanzaniana Dubai.
Hapa chini ni barua aliyoandika kuhusu maandamano ya Jumatatu 19, Juni 2023
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, aliandika: “@tanpol Msije kujeruhi watu waacheni tudai haki zetu kwa njia ya kistaarabu na kiungwana. Maandamano ya amani, wanasheria kuweni macho kwa askari yeyote atakayevunja Haki za binadamu utashtakiwa mwenyewe.”
Hata hivyo, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa tahadahari kwa wananchi kuhusu taarifa za kuwepo na maandamano siku ya Jumatatu Juni 19, 2023 kwenda Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam. Zaidi, soma hapa.
Mimi huwa naona mambo kabla hayajatokea. Kiufupi mambo sio shwari kabisa!.Haya maandamano yameishia wapi MzeeKipusa ?[emoji23]
Je ulitokea?Mimi huwa naona mambo kabla hayajatokea. Kiufupi mambo sio shwari kabisa!.
Vyombo vya ULINZI , USALAMA na POLISI , vijipange sana.
Note: Polisi sio chombo cha Ulinzi na Usalama. Vyombo vya Ulinzi na Usalama ni USALAMA WA TAIFA pamoja na JWT
POLISI ni Raia tu kama sisi, ni Sawa na JKT tu ( Raia wanaolipwa mishahara na Serikali kwà ajili ya kutulinda sisi na mali zetu )
POLISI ni Sawa na wale walinzi wa nzego...ambao huchangiwa af5 5 KILA mwezi.
Najua nyakati..... Kuna wrong person na right person. Wote hujulikana kwà kuwasikiliza tu souls + spirits zao.Je ulitokea?
Najua tu ulijificha uvunguni😂😂...Kwà jibu hilo kama kweli una BUSARA na HEKIMA unaweza kujua kama nilienda au sikwenda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua nacheka kwanini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii ni maajabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najua tu ulijificha[emoji23]