Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hapa chini nimeweka video ya wana Dar es Salaam wakisherehekea ushindi (kombe), ambapo wengi wao ni vijana.
Jana taifa lilikuwa na jambo muhimu sana kwa mustakabali wa vizazi na vizazi, jambo lililogusa Bandari ambazo ndizo kiini cha uchumi na heshima ya nchi.
Mpira na furaha ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi, ila most of these young men they don't care about their future. Wanajua ukienda kazini na kurudi basi umemaliza.
Cha ajabu tukio la kupokea kombe limeteka nyoyo na macho ya vijana kuliko suala la Bandari. Je, tutafika?
Ni ujinga wa kurogwa au kurithi?
Jana taifa lilikuwa na jambo muhimu sana kwa mustakabali wa vizazi na vizazi, jambo lililogusa Bandari ambazo ndizo kiini cha uchumi na heshima ya nchi.
Mpira na furaha ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi, ila most of these young men they don't care about their future. Wanajua ukienda kazini na kurudi basi umemaliza.
Cha ajabu tukio la kupokea kombe limeteka nyoyo na macho ya vijana kuliko suala la Bandari. Je, tutafika?
Ni ujinga wa kurogwa au kurithi?