Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Sasa mbona unakuwa kama.mjinga wakati sioKwani Nani kakwambia natafuta ajira hapa jukwaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona unakuwa kama.mjinga wakati sioKwani Nani kakwambia natafuta ajira hapa jukwaani
Sema mawazo yako hakuna kijana anawaza kindezi kama weweMimi sipingi kampeni bali nawasilisha mawazo na uamuzi wa vijana wanaojiandaa kumchukulia Fomu ya Urais Rais samia muda ukifika
Jikatalie wewe.maana vijana kwa wingi wao wanasubili kwa hamu kubwa sana wakati ufike ili wamchukulie Fomu Rais samia.Sema mawazo yako hakuna kijana anawaza kindezi kama wewe
Ninaandika ukweli ndio maana siwezi kuona aibu.Hivi huoni aibu kwa upuuzi unaoandika?
Vijana wamefanya uamuzi sahihi. Hata vijana wa CHADEMA wanamkubali sana Rais Samia wakiongozwa na mmiliki wao Mbowe. Mama anakubalika pande zote.Hawajawahi kuwa na mgombea na ndio maana huwa wanakuja kuazima wagombea kutoka CCM.
Mwashambwa Tumaini letu.Ila Luca unaboa sahivi, mxxxxiiiiieeeew.
Tutolee uchuro wako hapa, vijana wa ukoo wenu labda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Relax utavunja sindano.Hivi nitawezJe kumblock huyu jamaa maana ananiharibia sana siku yangu na nyuzi zake za kijinga
Ungejifunza kwanza kuandikaHuchoki? Vijana wasiojielewa ndiyo pekee watakaoenda kufanya hiki kitendo. Kwa kifupj mama nchi imemshinda kuongoza. Miaka yote hii aliyokaa madarakani hakuna mradi wa kitaifa aliowahi kuuanzisha, na ile miradi aliyoikuta hakuna hata mmoja alioukamilisha.
Kazi yake kubwa ni kuzulura tu na kutoa pesa kwenye mipira lakini ameshindwa kutengeneza ajira kwa vijana. Uchumi umedolora huku rasilimali za nchi wanapewa wageni. Mpeni lakini baada ya miaka 5 mingine ndiyo mtagundua vjana hamna akili.