Vijana kwa Wazee:Tuwekeze kwenye miti ya Mitiki

Vijana kwa Wazee:Tuwekeze kwenye miti ya Mitiki

Wangari Maathai

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2018
Posts
34,962
Reaction score
70,576
Wakati tunasubiri nchi kunyooshwa na Rais na kusubiria ntantalila za CCM

Nawashauri vijana wenzangu na wazee kuwekeza kwenye uwekezaji huu wa mitiki

Ingieni mtafute maarifa ya huu uwekezaji! Watu wengi wanafanya hiki kilimo wanapata fedha nyingi

Maeneo ya kununua mashamba ni mengi kwa wilaya ya Kilombero na Ulanga...!ardhi kule ipo fertile

Sasa cha kufanya ni wewe kwenda na kutafuta ardhi ununue hapa inategemea na maeneo na approach yako lakini hazidi laki 3@acre mbegu na kupimiwa shamba unapata bure kutoka kwa kampuni ya mitiki..!

Changamoto ni kuisimamia toka unapopanda hadi 3yrs toka uipande ..!kuanzia hapo haina changamoto sana..mie maneno mengi sina..tutafute hela jaman..tuwekeze..
miaka mi8 sio mingi kbs kbs ..!

Shime Watanzania! Tukutane2030[emoji4]

Nb.Kama upo serious pm me nikupe namba ya mhusika wa KILOMBERO TEAK CO.akupe mwelekeo!
 
Tatizo bado naliona hujazingatia mnyororo wa dhamani kuanzia kulima hadi mlaji.

Kama hawa walaji wa mwisho akitoka kwenye mizunguko yake jioni ananunua mayai mawili, munyu na mafuta kidogo ale yeye na watoto wake alale kisha aamke asubuhi aende kwenye mizunguko yake tena mimi siona mantiki ya kuwekeza huko lazima kufeli tuu.

Sisi twataka tujui soko maana tuliambiw tulime mbaazi, sasa asubuhi ikauzwa 3000 jioni sasa inauzwa 150. Bado kwenye korosho sijazungumzia, bado kahawa, bado mihogo ambayo tunaambiwa unaitajika China, bado kokoa ambayo bei yake ni nzuri baada ya mtekwaji Moo ikabidi ainunue bei nzuri ya shilling 3000 sasa sijui msimu ujao itakuwaje tena...

Za kuambiwa changanya na zako...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unataka kufa kwa Stress wekeza kwenye hiyo miti. Inachukua miaka 60 kupata mavuno. Hivyo usiiwekeee maaanani ya miaka 10 au 20 ni UONGO. Soft woods kule Mufindi sawa lkn hizo Hard Woood! Usitafutie watu umaskini na Stroke bureee
 
Kama unataka kufa kwa Stress wekeza kwenye hiyo miti. Inachukua miaka 60 kupata mavuno. Hivyo usiiwekeee maaanani ya miaka 10 au 20 ni UONGO. Soft woods kule Mufindi sawa lkn hizo Hard Woood! Usitafutie watu umaskini na Stroke bureee
Kweli mkuu nimeshangaa hiyo miaka ya mavuno aliyosema mleta mada.
 
Wakati tunasubiri nchi kunyooshwa na
Raisi na kusubiria ntantalila za ccm ... Nawashauri vijana wenzangu na wazee kuwekeza kwenye uwekezaji huu wa mitiki...
Ingieni mtafute maarifa ya huu uwekezaji..!Watu wengi wanafanya hiki kilimo wanapata fedha nyingi..
Maeneo ya kununua mashamba ni mengi.kwa wilaya ya Kilombero na Ulanga...!ardhi kule ipo fertile ..sasa cha kufanya ni ww kwenda na kutafuta ardhi ununue..hapa inategemea na maeneo..na approach yako..lakini hazid laki 3@acre..mbegu na kupimiwa shamba unapata bure kutoka kwa kampuni ya mitiki..!
..Changamoto ni kuisimamia toka unapopanda had 3yrs toka uipande ..!kuanzia hapo haina changamoto sana..
mie maneno mengi sina..tutafute hela jaman..tuwekeze..
miaka mi8 sio mingi kbs kbs ..!

Shime Watanzania! Tukutane2030[emoji4]


Nb.Kama upo serious pm me nikupe namba ya mhusika wa KILOMBERO TEAK CO.akupe mwelekeo!
!
Mleta mada naomba kujadiliana nawe Mambo machache juu ya kilimo Cha mitiki
Kibiashara Ni zao zuri kwani Ni miti yenye Bei nzuri lakini Kimazingira miti hii si rafiki hata kidogo nashangaa Serikali IPO kimya tu hasa kwenye mabonde ya Ulanga, Kilombero na Rufiji
Hakuna tathimini ya Kimazingira EIA iliyotolewa kuonyesha ubaya wa miti hii kwenye mabonde haya, bonde la Kilombero kampuni ya KTC inahadaa na kuendelea na upandaji lkn IPO siku madhara yake yatatugharimu Sana Watanzania hasa kwenye haya mabonde

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
 
Mleta mada naomba kujadiliana nawe Mambo machache juu ya kilimo Cha mitiki
Kibiashara Ni zao zuri kwani Ni miti yenye Bei nzuri lakini Kimazingira miti hii si rafiki hata kidogo nashangaa Serikali IPO kimya tu hasa kwenye mabonde ya Ulanga, Kilombero na Rufiji
Hakuna tathimini ya Kimazingira EIA iliyotolewa kuonyesha ubaya wa miti hii kwenye mabonde haya, bonde la Kilombero kampuni ya KTC inahadaa na kuendelea na upandaji lkn IPO siku madhara yake yatatugharimu Sana Watanzania hasa kwenye haya mabonde

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau


Duh..hebu niambie ina athari gan...aisee sikujua kwakweli as nilienda has ofisini kwao pale...!tafadhari elezea bayana mkuu tujiandae kisaikolojia mapema
 
Thanks. Weka namba yake hapa na mchanganuo wa faida na hasara. Ila wazo ni zuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
0788419793..huyo ndo atakupa abc zote mkuu mie nimefika kwenye field zao watoto wadogo kweli wa 23yrs wanamiliki eka kibao..!ni pesa ndf sana alafi 8 yrs sio miaka mingi kbs..hyo namba ndo watu wa teak co.
 
Kama unataka kufa kwa Stress wekeza kwenye hiyo miti. Inachukua miaka 60 kupata mavuno. Hivyo usiiwekeee maaanani ya miaka 10 au 20 ni UONGO. Soft woods kule Mufindi sawa lkn hizo Hard Woood! Usitafutie watu umaskini na Stroke bureee


Anywys..mie nimeona ile miti ya kisasa..ngoja nitatafuta namna kuthibitisha zaidi
 
Tatizo bado naliona hujazingatia mnyororo wa dhamani kuanzia kulima hadi mlaji.

Kama hawa walaji wa mwisho akitoka kwenye mizunguko yake jioni ananunua mayai mawili, munyu na mafuta kidogo ale yeye na watoto wake alale kisha aamke asubuhi aende kwenye mizunguko yake tena mimi siona mantiki ya kuwekeza huko lazima kufeli tuu.

Sisi twataka tujui soko maana tuliambiw tulime mbaazi, sasa asubuhi ikauzwa 3000 jioni sasa inauzwa 150. Bado kwenye korosho sijazungumzia, bado kahawa, bado mihogo ambayo tunaambiwa unaitajika China, bado kokoa ambayo bei yake ni nzuri baada ya mtekwaji Moo ikabidi ainunue bei nzuri ya shilling 3000 sasa sijui msimu ujao itakuwaje tena...

Za kuambiwa changanya na zako...

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu
 
Duh..hebu niambie ina athari gan...aisee sikujua kwakweli as nilienda has ofisini kwao pale...!tafadhari elezea bayana mkuu tujiandae kisaikolojia mapema
Mitiki Ni zao linalotumia maji mengi Sana hivyo linaleta ukame ukubwa Sana katika eneo ambapo hiyo miti IPO, mfano mtiki wa miaka 5 unatumia maji Lita 45 Hadi 60 kwa siku,
Eneo ambalo limepandwa mitiki ukame hushamiri Sana, hivyo mazao mengine huwa hayana uwezo wa kustahimiki hivyo hushindwa kumea vizuri
Madhara haya nimeyashuhudia Sana hao KTC bila Shaka ukweli huu wanaujua ila hawasemi.....watu wa mazingira wanajua ila hawataki kujishughulisha nalo swala hili,
Mwisho, IPO miti fulani ambayo watu wanaiita mitiki myeupe ile haina shida Sana na hutumia miaka michache kukomaa!!

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
 
Mitiki Ni zao linalotumia maji mengi Sana hivyo linaleta ukame ukubwa Sana katika eneo ambapo hiyo miti IPO, mfano mtiki wa miaka 5 unatumia maji Lita 45 Hadi 60 kwa siku,
Eneo ambalo limepandwa mitiki ukame hushamiri Sana, hivyo mazao mengine huwa hayana uwezo wa kustahimiki hivyo hushindwa kumea vizuri
Madhara haya nimeyashuhudia Sana hao KTC bila Shaka ukweli huu wanaujua ila hawasemi.....watu wa mazingira wanajua ila hawataki kujishughulisha nalo swala hili,
Mwisho, IPO miti fulani ambayo watu wanaiita mitiki myeupe ile haina shida Sana na hutumia miaka michache kukomaa!!

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau


Basi hyo myeupe ndo wanaiita mbegu za kisasa..na mm nasemea hiyo mkuu..!asante nitatafuta zaidi kujua hili
 
Kama unataka kufa kwa Stress wekeza kwenye hiyo miti. Inachukua miaka 60 kupata mavuno. Hivyo usiiwekeee maaanani ya miaka 10 au 20 ni UONGO. Soft woods kule Mufindi sawa lkn hizo Hard Woood! Usitafutie watu umaskini na Stroke bureee
We bwana utakuwa umetumwa na shetani! mitiki ndo miti inayoongoza kwa kuvunwa mapema ,miaka 7, 8, ishakomaa kabsa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom