Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
Upo sahihi kabisa, hilo mimi nimelishuhudia mwenyewe bibi yangu alikuwa anamiti mingi sana ya mitiki huko morogoro kijiji cha Mngeta kama ID yako inavyosoma 😁 mwisho wa siku ardi yote hakuna kinachomea, hadi majirani wakaanza kulalamika, tuliuza yote, ila bei yake ni nzuri.mfano mtiki wa miaka 5 unatumia maji Lita 45 Hadi 60 kwa siku,
Eneo ambalo limepandwa mitiki ukame hushamiri Sana, hivyo mazao mengine huwa hayana uwezo wa kustahimiki hivyo hushindwa kumea vizuri
Kuhusu lifespan yake sina uhakika kama ni miaka mingi sidhan kama inazidi 20