Vijana kwa Wazee:Tuwekeze kwenye miti ya Mitiki

Vijana kwa Wazee:Tuwekeze kwenye miti ya Mitiki

Upo sahihi kabisa, hilo mimi nimelishuhudia mwenyewe bibi yangu alikuwa anamiti mingi sana ya mitiki huko morogoro kijiji cha Mngeta kama ID yako inavyosoma [emoji16] mwisho wa siku ardi yote hakuna kinachomea, hadi majirani wakaanza kulalamika, tuliuza yote, ila bei yake ni nzuri.
Kuhusu lifespan yake sina uhakika kama ni miaka mingi sidhan kama inazidi 20
Haaaaaaa mngeta sehem gani mkuu?

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
 
Haaaaaa, hongera Sana mkuu kutambua vema bonde oevu la Kilombero chini ya Rufiji basin, kwetu Ni mngeta mkuu!!
Wewe msomi wa Mngeta unatokea maeneo gani pale? Lukolongo, Mkangawalo, kotako au Mchombe?
Hilo bonde la Kilombero kuanzia Kidatu, Msolwa, Sanje, Mkula, Sonjo, Mang'ula,Kisawasawa, Kiberege,Signal, Ifakara, Idete, Namwawala, Mbingu, Mngeta, Ikule, Chita, Udagaji, Chisano hadi Mlimba nilishapita sana miaka ile nilipokua nafanya biashara ya kununua mchele.

Achilia mbali upande wa Mahenge na Malinyi.

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
 
Wakati tunasubiri nchi kunyooshwa na Rais na kusubiria ntantalila za CCM

Nawashauri vijana wenzangu na wazee kuwekeza kwenye uwekezaji huu wa mitiki

Ingieni mtafute maarifa ya huu uwekezaji! Watu wengi wanafanya hiki kilimo wanapata fedha nyingi

Maeneo ya kununua mashamba ni mengi kwa wilaya ya Kilombero na Ulanga...!ardhi kule ipo fertile

Sasa cha kufanya ni wewe kwenda na kutafuta ardhi ununue hapa inategemea na maeneo na approach yako lakini hazidi laki 3@acre mbegu na kupimiwa shamba unapata bure kutoka kwa kampuni ya mitiki..!

Changamoto ni kuisimamia toka unapopanda hadi 3yrs toka uipande ..!kuanzia hapo haina changamoto sana..mie maneno mengi sina..tutafute hela jaman..tuwekeze..
miaka mi8 sio mingi kbs kbs ..!

Shime Watanzania! Tukutane2030[emoji4]

Nb.Kama upo serious pm me nikupe namba ya mhusika wa KILOMBERO TEAK CO.akupe mwelekeo!
we umelima japo eka moja
 
Bangi sio kitu kizuri mie nimemqoute wa nazi za bagamoyo...kuna mbegu ya muda mfupi lakin naskia haina harufu ile ya nazi..sanchez amesema bgamy anataka kipanda nazi ..
sasa ladha kwa mitiki wapi na wapi slim😉😉

QUOTE="Slim5, post: 30662764, member: 196493"]Wewe unataka radha ama unataka mbao![/QUOTE]
 
hyo ya asili ndo yenyewe..mbegu unapata wap
Nilichukua contact za wadau na pia walinijulisha kuna center inayoshughulikia zao hilo la nazi apo bagamoyo kwaiyo kuanzia mbegu na taratibu za upandaji wanaweza kushauri, niliwaahidi ntawarudia tena mwezi 4. Niliwapa tasks ya kuniangalizia mashambani pori
 
Nahis kma kuna kaugumu kuelewa..hyo ni mbegu ya zaman..zimekuja mbegu mpya F1[emoji4]..!tatizo tunajiangalia tu sisi wenyewe..yaan unajipigia umri wako ww tu..Dingi analima balaa..imagine ana 76yrs[emoji23][emoji23]..sasa jiulize nan ataifaidi..ni wanaye na jukuuz!
Wengi wanasoma post ya kwanza tu, hawasomi majadiliano yanavyoendelea, wana-changia bila kusoma baadhi ya michango! Ndiyo maana ...vingine wanavyoruka vinawapita.
 
Acha kudharau bangi kwa vitu vya ajabu ajabu!
Bangi sio kitu kizuri mie nimemqoute wa nazi za bagamoyo...kuna mbegu ya muda mfupi lakin naskia haina harufu ile ya nazi..sanchez amesema bgamy anataka kipanda nazi ..
sasa ladha kwa mitiki wapi na wapi slim😉😉

QUOTE="Slim5, post: 30662764, member: 196493"]Wewe unataka radha ama unataka mbao!
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom