Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Vipi kuhusu maji? au mvua mmoja tu kama ya masika inatosha kuotesha, ama kuna ulazima wa kuwa na machine ya maji kwa ajili ya umwagiliaji kipindi cha ukuwaji wa miti?kufyelekea..kuprun matawi na kuweka shamba safi..