Vijana kwa Wazee:Tuwekeze kwenye miti ya Mitiki

Vijana kwa Wazee:Tuwekeze kwenye miti ya Mitiki

Tatizo bado naliona hujazingatia mnyororo wa dhamani kuanzia kulima hadi mlaji.

Kama hawa walaji wa mwisho akitoka kwenye mizunguko yake jioni ananunua mayai mawili, munyu na mafuta kidogo ale yeye na watoto wake alale kisha aamke asubuhi aende kwenye mizunguko yake tena mimi siona mantiki ya kuwekeza huko lazima kufeli tuu.

Sisi twataka tujui soko maana tuliambiw tulime mbaazi, sasa asubuhi ikauzwa 3000 jioni sasa inauzwa 150. Bado kwenye korosho sijazungumzia, bado kahawa, bado mihogo ambayo tunaambiwa unaitajika China, bado kokoa ambayo bei yake ni nzuri baada ya mtekwaji Moo ikabidi ainunue bei nzuri ya shilling 3000 sasa sijui msimu ujao itakuwaje tena...

Za kuambiwa changanya na zako...

Sent using Jamii Forums mobile app
Atwambie na mda wa kuvuna wenda ikavunwa miaka 30 ijayo.leo tuliambiwa tupande palachch watu wakafyeka miti wakafyeka kahawa wakapanda palachch ndivyo hivyo enzi zile za pareto,kahawa,chai,yaani ushenzi tu hatuna viwanda siriasi kabisa vyenye mahitaji ya vitu hivyo ndio maana tunafeli leo wapi korosho......acheni kuzingua leo unatuletea habari za mtiki....hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atwambie na mda wa kuvuna wenda ikavunwa miaka 30 ijayo.leo tuliambiwa tupande palachch watu wakafyeka miti wakafyeka kahawa wakapanda palachch ndivyo hivyo enzi zile za pareto,kahawa,chai,yaani ushenzi tu hatuna viwanda siriasi kabisa vyenye mahitaji ya vitu hivyo ndio maana tunafeli leo wapi korosho......acheni kuzingua leo unatuletea habari za mtiki....hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app

sasa ukiambiwa kukurupuka ndo huk ndugu yangu..ina maana toka pg ya 1 hujaona muda wa kuvunwa mkuu!
alafu mie nilitoa tu ushauri...nikaona nizao ambalo halina stress...na nimelenga zaid kwa watu wa pwani...ni rahis kwao kuliko kulimbilia njombe kununua pines ..!lol
 
hongeramm nina eka 30 ya mitiki nimeanza toka 2015 na i mitiki tu watu wenye mrengo wa kilimo cha mitiwaende hata njombe
Aisee nimekupenda ghafla..uwii 30acres..safi sana..mie toka 2015 najua hii ishu lakini sikuwa nimetilia maana..sasa nimekutana na wanaoilima...vitoto vidogo kweli na vimeinvest balaa..arghh..njombe kuna shida ya kuchomeana mashamba...
 
Aisee nimekupenda ghafla..uwii 30acres..safi sana..mie toka 2015 najua hii ishu lakini sikuwa nimetilia maana..sasa nimekutana na wanaoilima...vitoto vidogo kweli na vimeinvest balaa..arghh..njombe kuna shida ya kuchomeana mashamba...
Maswala ya moto iringa na njombe ndo mahala pake: alafu vipi morogoro minyukano ya wakulima na wafugaji imetulia, huwa natamani sana wekeza morogoro lakini nikifikiriaga jamaa wanaweza pitisha ng'ombe zao kwenye shamba langu naishiwa nguvu
 
20190308_091151.jpg
20190308_091129.jpg
TTACH]
Hawachi
 
Maswala ya moto iringa na njombe ndo mahala pake: alafu vipi morogoro minyukano ya wakulima na wafugaji imetulia, huwa natamani sana wekeza morogoro lakini nikifikiriaga jamaa wanaweza pitisha ng'ombe zao kwenye shamba langu naishiwa nguvu
Kilosa ndo kuna habari hyo sana ardhi ni fertile lakini kuna ng'ombe wengi mno mno..!
 
wewe si bure wewe.... kuna kitu.... ngoja nione upepo ukoje baada ya EL kuhamisha magoli...! 😂😂😂😂😂👐[/QUOTE]
 
Wakati tunasubiri nchi kunyooshwa na Rais na kusubiria ntantalila za CCM

Nawashauri vijana wenzangu na wazee kuwekeza kwenye uwekezaji huu wa mitiki

Ingieni mtafute maarifa ya huu uwekezaji! Watu wengi wanafanya hiki kilimo wanapata fedha nyingi

Maeneo ya kununua mashamba ni mengi kwa wilaya ya Kilombero na Ulanga...!ardhi kule ipo fertile

Sasa cha kufanya ni wewe kwenda na kutafuta ardhi ununue hapa inategemea na maeneo na approach yako lakini hazidi laki 3@acre mbegu na kupimiwa shamba unapata bure kutoka kwa kampuni ya mitiki..!

Changamoto ni kuisimamia toka unapopanda hadi 3yrs toka uipande ..!kuanzia hapo haina changamoto sana..mie maneno mengi sina..tutafute hela jaman..tuwekeze..
miaka mi8 sio mingi kbs kbs ..!

Shime Watanzania! Tukutane2030[emoji4]

Nb.Kama upo serious pm me nikupe namba ya mhusika wa KILOMBERO TEAK CO.akupe mwelekeo!
mimi nipo serious. ila nataka miende shamabni kwenda kuisimamia mimi na wewe
 
Back
Top Bottom