Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Wewe -Me!Napanda😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe -Me!Napanda😊
nitakutumia..ina majan mapana hv.soft hv
Atwambie na mda wa kuvuna wenda ikavunwa miaka 30 ijayo.leo tuliambiwa tupande palachch watu wakafyeka miti wakafyeka kahawa wakapanda palachch ndivyo hivyo enzi zile za pareto,kahawa,chai,yaani ushenzi tu hatuna viwanda siriasi kabisa vyenye mahitaji ya vitu hivyo ndio maana tunafeli leo wapi korosho......acheni kuzingua leo unatuletea habari za mtiki....hahahahaTatizo bado naliona hujazingatia mnyororo wa dhamani kuanzia kulima hadi mlaji.
Kama hawa walaji wa mwisho akitoka kwenye mizunguko yake jioni ananunua mayai mawili, munyu na mafuta kidogo ale yeye na watoto wake alale kisha aamke asubuhi aende kwenye mizunguko yake tena mimi siona mantiki ya kuwekeza huko lazima kufeli tuu.
Sisi twataka tujui soko maana tuliambiw tulime mbaazi, sasa asubuhi ikauzwa 3000 jioni sasa inauzwa 150. Bado kwenye korosho sijazungumzia, bado kahawa, bado mihogo ambayo tunaambiwa unaitajika China, bado kokoa ambayo bei yake ni nzuri baada ya mtekwaji Moo ikabidi ainunue bei nzuri ya shilling 3000 sasa sijui msimu ujao itakuwaje tena...
Za kuambiwa changanya na zako...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo inapatikana tuhyo ya asili ndo yenyewe..mbegu unapata wap
Atwambie na mda wa kuvuna wenda ikavunwa miaka 30 ijayo.leo tuliambiwa tupande palachch watu wakafyeka miti wakafyeka kahawa wakapanda palachch ndivyo hivyo enzi zile za pareto,kahawa,chai,yaani ushenzi tu hatuna viwanda siriasi kabisa vyenye mahitaji ya vitu hivyo ndio maana tunafeli leo wapi korosho......acheni kuzingua leo unatuletea habari za mtiki....hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe -Me!
[/QUOTE]Acha kudharau bangi kwa vitu vya ajabu ajabu!
hongeramm nina eka 30 ya mitiki nimeanza toka 2015 na i mitiki tu watu wenye mrengo wa kilimo cha mitiwaende hata njombeNapanda😊
Aisee nimekupenda ghafla..uwii 30acres..safi sana..mie toka 2015 najua hii ishu lakini sikuwa nimetilia maana..sasa nimekutana na wanaoilima...vitoto vidogo kweli na vimeinvest balaa..arghh..njombe kuna shida ya kuchomeana mashamba...hongeramm nina eka 30 ya mitiki nimeanza toka 2015 na i mitiki tu watu wenye mrengo wa kilimo cha mitiwaende hata njombe
Maswala ya moto iringa na njombe ndo mahala pake: alafu vipi morogoro minyukano ya wakulima na wafugaji imetulia, huwa natamani sana wekeza morogoro lakini nikifikiriaga jamaa wanaweza pitisha ng'ombe zao kwenye shamba langu naishiwa nguvuAisee nimekupenda ghafla..uwii 30acres..safi sana..mie toka 2015 najua hii ishu lakini sikuwa nimetilia maana..sasa nimekutana na wanaoilima...vitoto vidogo kweli na vimeinvest balaa..arghh..njombe kuna shida ya kuchomeana mashamba...
Kilosa ndo kuna habari hyo sana ardhi ni fertile lakini kuna ng'ombe wengi mno mno..!Maswala ya moto iringa na njombe ndo mahala pake: alafu vipi morogoro minyukano ya wakulima na wafugaji imetulia, huwa natamani sana wekeza morogoro lakini nikifikiriaga jamaa wanaweza pitisha ng'ombe zao kwenye shamba langu naishiwa nguvu
okKilosa ndo kuna habari hyo sana ardhi ni fertile lakini kuna ng'ombe wengi mno mno..!
Alafu uligusia changamoto kwenye usimamiaji mpaka itapotimiza miaka 3, baadhi ya changamoto ni kama nini
Alafu uligusia changamoto kwenye usimamiaji mpaka itapotimiza miaka 3, baadhi ya changamoto ni kama nini
[/QUOTE]wewe si bure wewe.... kuna kitu.... ngoja nione upepo ukoje baada ya EL kuhamisha magoli...!
😂😂😂😂😂👐
mimi nipo serious. ila nataka miende shamabni kwenda kuisimamia mimi na weweWakati tunasubiri nchi kunyooshwa na Rais na kusubiria ntantalila za CCM
Nawashauri vijana wenzangu na wazee kuwekeza kwenye uwekezaji huu wa mitiki
Ingieni mtafute maarifa ya huu uwekezaji! Watu wengi wanafanya hiki kilimo wanapata fedha nyingi
Maeneo ya kununua mashamba ni mengi kwa wilaya ya Kilombero na Ulanga...!ardhi kule ipo fertile
Sasa cha kufanya ni wewe kwenda na kutafuta ardhi ununue hapa inategemea na maeneo na approach yako lakini hazidi laki 3@acre mbegu na kupimiwa shamba unapata bure kutoka kwa kampuni ya mitiki..!
Changamoto ni kuisimamia toka unapopanda hadi 3yrs toka uipande ..!kuanzia hapo haina changamoto sana..mie maneno mengi sina..tutafute hela jaman..tuwekeze..
miaka mi8 sio mingi kbs kbs ..!
Shime Watanzania! Tukutane2030[emoji4]
Nb.Kama upo serious pm me nikupe namba ya mhusika wa KILOMBERO TEAK CO.akupe mwelekeo!
shukrani sana.... na mimi nimeujua MTIKI ulivyo.... unaonekana upo deep sana... hongera