Vijana kwa Wazee:Tuwekeze kwenye miti ya Mitiki

Vijana kwa Wazee:Tuwekeze kwenye miti ya Mitiki

Ila mitiki in issue kukua mm ninamtiki 1 hapa mwanza s unamiaka 20 lakini bado unahitaji miaka mingine kama 20 ili uweze kuvunwa


Nahis kma kuna kaugumu kuelewa..hyo ni mbegu ya zaman..zimekuja mbegu mpya F1😊..!tatizo tunajiangalia tu sisi wenyewe..yaan unajipigia umri wako ww tu..Dingi analima balaa..imagine ana 76yrs😂😂..sasa jiulize nan ataifaidi..ni wanaye na jukuuz!
 
Watu kama nyinyi wasoma magezeti, makala, vitabu vya uchumi na masoko huwa mnakatisha sana tamaa watu, ndomana wengi wa wasomi mnakufa masikini mnakuja jiimarisha too late na vikokoteo vyenu vya uzeeni. Kila mnachotaka kufanya huwa mnawaza hasara tu. Watu ambao hawana Elimu kama za kwenu wengi huendelea kwa sababu wao huingia field na kufanya na sio kujiuliza maswali kama haya unayoyafikiria.


Wacha uwoga, penda kujaribu.
Ubarikiwe kwa kutupa moyo.
 
Wakati tunasubiri nchi kunyooshwa na
Raisi na kusubiria ntantalila za CCM.

Nawashauri vijana wenzangu na wazee kuwekeza kwenye uwekezaji huu wa mitiki.

Ingieni mtafute maarifa ya huu uwekezaji..!Watu wengi wanafanya hiki kilimo wanapata fedha nyingi.

Maeneo ya kununua mashamba ni mengi.kwa wilaya ya Kilombero na Ulanga...!ardhi kule ipo fertile

sasa cha kufanya ni ww kwenda na kutafuta ardhi ununue hapa inategemea na maeneo na approach yako lakini hazid laki 3@acre mbegu na kupimiwa shamba unapata bure kutoka kwa kampuni ya mitiki..!

..Changamoto ni kuisimamia toka unapopanda had 3yrs toka uipande ..!kuanzia hapo haina changamoto sana..
mie maneno mengi sina..tutafute hela jaman..tuwekeze..
miaka mi8 sio mingi kbs kbs ..!

Shime Watanzania! Tukutane2030[emoji4]

Nb.Kama upo serious pm me nikupe namba ya mhusika wa KILOMBERO TEAK CO.akupe mwelekeo!

Sehemu gani hasa za hayo maeneo watu wanauza mashamba na kila hekari moja ni kiasi gani? Kama kuna mbegu nyingine ya muda mfupi basi itakua ahueni sana. Ile mbegu ya zamani iliwakatisha sana tamaa watu wa kawaida kujihusisha na kilimo cha mitiki baada ya kuambiwa inachukua miaka mingi kukomaa. Nakumbuka KVTC ndiyo iliyokua kampuni ya kwanza kuingia Kilombero na Ulanga na hicho kilimo cha mitiki. Nitakutafuta tu pm siku si nyingi.
 
kuna mbuga hii njia ya kwenda mbingu..bei zao hazipo stable..wanaangalia na mtu..ukitaka heka nyingi wanapunguza..bt inarange 300k-500k per acre..ila ukienda kwa wenyeji had 200k
 
Kama unataka kufa kwa Stress wekeza kwenye hiyo miti. Inachukua miaka 60 kupata mavuno. Hivyo usiiwekeee maaanani ya miaka 10 au 20 ni UONGO. Soft woods kule Mufindi sawa lkn hizo Hard Woood! Usitafutie watu umaskini na Stroke bureee


Kilimo cha kwenye makaratasi rahisi sanaaaa, ndio hivyo yaani anataja tu miaka, wala ukute hajui mitiki inachukua almost hadi uzee ndio uvune..!!
 
Naomba unijuze wanauza mbegu au miche ao tiki co ,na kama ni miche ni bei gani
 
Ingekuwa vizuri wangeweka matangazo yalivyo wazi kuhusu hiyo miaka minane.
Mambo ya kuambiwa hayajitoshelezi.nane ikawa sitini nimesha invest nitashitaki vipi?
 
naskia za zaman ndo nzuri zina ladha..kuliko hizo mpya..yan naskia hizo mbegu fupi hazina ladha
Yes ni kweli na pia hizi za kisasa life span yake ni ndogo mno kuanzia miaka 15 mpaka 20, lakini mbegu za asili ni life span ni 50+ ndomana wakulima huipendelea.
 
Back
Top Bottom