Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
- Thread starter
- #41
Ila mitiki in issue kukua mm ninamtiki 1 hapa mwanza s unamiaka 20 lakini bado unahitaji miaka mingine kama 20 ili uweze kuvunwa
Nahis kma kuna kaugumu kuelewa..hyo ni mbegu ya zaman..zimekuja mbegu mpya F1😊..!tatizo tunajiangalia tu sisi wenyewe..yaan unajipigia umri wako ww tu..Dingi analima balaa..imagine ana 76yrs😂😂..sasa jiulize nan ataifaidi..ni wanaye na jukuuz!