Vijana kwanini wazito kuoa

Vijana kwanini wazito kuoa

Kuna factors nying zinazochangia.
- mahari kuwa kubwa kuliko uwezo wa muoaji.
-hali ya maisha, akichek maisha yake yeye mwenyewe na uchumi wake bado havijakaa sawa, akioa ndio atahudumiaje.
- itabia za baadhi ya dada zetu zinawafanya baadhi ya wanaume wenye nia kurud nyuma, wengi wao wanaish fake life, make ups 24hrs, hawataki kujishuhulisha , wana interest na watu wenye pesa tu( japo si wote)

Kuna factor nyingine nyingi sana, lakin nimetaja chache
 
Yani me hapa ni 30s lakini kuoa ni ndoto kwangu.Wazazi wamenibana balaa.Tatizo ni mke,hawa mabinti wa Siku hizi ni hatari
Hawatabiriki, mwanzon anaweza kuwa mke mwema, akisha kuzoea baaasi hali inabadilika
 
Wakiona hivyo muda wao bado au hawajakutana na ubavu wao SA watalazimisha mambo?kwanza mi nashangaa MTU mwingine anapambana hapa tz kumbe ubavu haupo bongo hapa..[emoji1] [emoji1]
hahaaa sasa kama maisha yake ni magumu si atakufa pasipo kukutana na huo ubavu wake ..maana kwenda nje ya nchi nigharama nyingine pia
 
Je wanawake wa kuoa hakuna au

Je maisha ni magumu

Au ni uoga wa maisha

Karibu tujadili
IMG-20180209-WA0030.jpg

Moja wapo ya sababu za kutooa [emoji121][emoji121][emoji121][emoji121][emoji121][emoji121][emoji121][emoji121]
 
Back
Top Bottom