Vijana majobless muanzishe vijiwe vya kubadilishana mawazo kama wazee walivyoanzisha vijiwe vya kahawa kupigana fiksi

Vijana majobless muanzishe vijiwe vya kubadilishana mawazo kama wazee walivyoanzisha vijiwe vya kahawa kupigana fiksi

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Vuguvugu la maendeleo ulaya (the age of enlignment) lilianzia vijiweni na kwenye saloon ambapo watu walikutana kujadili ideas. Kwenye vijiwe vya kimasonic (Masonic Clubs ) pia ilikuwa ninsehemu walipokutana kupeana updates.

Muachane na vijiwe vya betting.

Vijiwe wa unywaji bia, na ulaji wa vichocheo vya kansa, visukari na ufu.

Vijiwe vya kuchochea ukimwi, gono, UTI na kuhamasishana uzinzi kinyume na maumbile.

Muanzishe clubs za kubadilishana ideas.

Huku mkila matunda, korosho na vyakula vya maana (brain activators) akili ziwe njema. Vyakula vinavyoongeza resilience (uwezo wa kuanzs tena hata ukianguka)

Ni hayo tu.

Mbarikiwe
 
Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Mabroo wengi roho mbaya, wanataka kila mmoja apitie machungu aliyoyapitia yeye mpaka kufanikiwa. Sasa umuhimu wa wao kutangulia mbele upo wapi?
 
Umenea vyema mkuu, hakuna asiye penda kufanya kazi, yaani mtu afurahie kukaa tu hapana kwakweli. Tupeane connection wakuu, kwa sasa bila connection ni utasugua benchi sana.
Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
 
Kati ya story watakazopiga za maendeleo ni moja katika kumi zingine zote ni yule chula ni balaaa nimempelekea moto hatari kwanza maharage ya mbeya alaf alikuja amevaa kijora nikakibinua tu nikachomekaaa waletee
 
Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Umeongea ukweli. Kuna watu sijui shida ni nini. Kwenye kulaumu wengine dah wapo vema ila sasa sio kwenye kuchukua hatua aisee.
 
Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Wengine ndugu kabisa, wamezaliwa na baba zetu. Afrika laana tupu
 
brain activators
Brain activators😁
IMG_20231207_073517.jpg
 
Sawa broo, maana ata connection hamtupi.
Hakuna connection ambayo mtu ananyimwa. Kila ikitokea mtu anapata.

Waiayi unasubiri connection kutoka kwa watu ambao wako connected na wewe anza kufanya chochote. Hapa kuna mtu wangu wa karibu aliuza juice, karanga tena anatembeza mtaani, kalima mchicha na matembere hafi siku anapata connection ya kazi ya ualimu ndio wakina mama mtaani wakajua ni msomi wa chuo.

Dunia iko kazi, inatakiwa uanze kutambaa wakayi unasubiri kutembea au kukimbia.
 
Mambo hayawezi kuwa mepesi kwa kukaa vijiweni na kupiga porojo tu,
Hata Mungu kuumba dunia alianza kwa maneno (idea).
Ideas ndio zinaleta utekelezaji.

Kama mtu anajadili Yanga au Goli la Pacome anasahau
1: Anajadili mtu aliyekazini.
2: anajadili event sio idea.
3: anajadili vilivyopita. Dead events.
 
Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Umeongea ukweli. Kuna watu sijui shida ni nini. Kwenye kulaumu wengine dah wapo vema ila sasa sio kwenye kuchukua hatua aisee.

Sawa broo, maana ata connection hamtupi.
Vijana wenyewe ukiwapa ushauri wanatoa kauli za kukata tamaa.

Laiti wangekuwa wanajadili maendeleo kama wanavyojadili michezo basi vijana wangefika mbali sana
 
Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Umeongea ukweli. Kuna watu sijui shida ni nini. Kwenye kulaumu wengine dah wapo vema ila sasa sio kwenye kuchukua hatua aisee.

Sawa broo, maana ata connection hamtupi.
Vijana wenyewe ukiwapa ushauri wanatoa kauli za kukata tamaa.

Laiti wangekuwa wanajadili maendeleo kama wanavyojadili michezo basi vijana wangefika mbali sana
 
Back
Top Bottom