Vijana majobless muanzishe vijiwe vya kubadilishana mawazo kama wazee walivyoanzisha vijiwe vya kahawa kupigana fiksi

Vijana majobless muanzishe vijiwe vya kubadilishana mawazo kama wazee walivyoanzisha vijiwe vya kahawa kupigana fiksi

Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Nina shamba tukuyu nimetangaza nahitaji kijana wa kusimamia shamba, mwezi wa tatu sasa sipati, mshahara laki 2. Vijana wa sasa wengi wao wavivu.
 
Nina shamba tukuyu nimetangaza nahitaji kijana wa kusimamia shamba, mwezi wa tatu sasa sipati, mshahara laki 2. Vijana wa sasa wengi wao wavivu.
Inatakiwa conncetion wazikutie huko mashambani. Sasa wanataka connection ziwakute wakiwa wanachat.

Kuna Manager mmoja nilikutana naye, anasema alikuwa na masters ameajiliwa anasimamia shamba la mtu wakati anaendelea kushughulikia mambo yake. Kumbe mmiliki ni decision maker kwenye taasisi kubwa ya career yake. Alipomjua tu jamaa moja kwa moja akatoka juwa msimamizi wa shamba hadi town kuwa msimamiz wa ofisi kubwa tu.
 
Inatakiwa conncetion wazikutie huko mashambani. Sasa wanataka connection ziwakute wakiwa wanachat.

Kuna Manager mmoja nilikutana naye, anasema alikuwa na masters ameajiliwa anasimamia shamba la mtu wakati anaendelea kushughulikia mambo yake. Kumbe mmiliki ni decision maker kwenye taasisi kubwa ya career yake. Alipomjua tu jamaa moja kwa moja akatoka juwa msimamizi wa shamba hadi town kuwa msimamiz wa ofisi kubwa tu.
Hawa watoto anaona bora shemeji ampe elfu 10 asubuhi elfu 5 anapeleka mkeka beti nyingine anahonga ila kazi zenye mustakbali mzuri hawataki. Hiki kizazi Z ni shida sana
 
Upo kweli mkuu kuhusu vijiwe hivi, hii middle class ya sasa ya dot.com ni wanalalama tu,actions ni zero, ukitembelea jiji la Dar, Ile bustani iliyo mbele ya jengo la Posta ya zamani kilikua kijiwe muhimu mno kipindi hicho, kila sector walikusanyika pale na kupeana mikakati ya maisha, sio ulevi na ngono, interview za New Africa Hotel na DSM Sheraton Hotel datas zote candidates walizipata pale, generation ile ilipendana na ubinafsi haukuwepo, hivyo hivyo kwa bankers, wanasheria etc etc,na elewa kijiwe kile our own deputy PM amekaa sana kijiwe kile, kijiwe chake kilikua chini ya ule mti uliokaribu na maungio yanayo face kanisa la Lutheran
 
Upo kweli mkuu kuhusu vijiwe hivi, hii middle class ya sasa ya dot.com ni wanalalama tu,actions ni zero, ukitembelea jiji la Dar, Ile bustani iliyo mbele ya jengo la Posta ya zamani kilikua kijiwe muhimu mno kipindi hicho, kila sector walikusanyika pale na kupeana mikakati ya maisha, sio ulevi na ngono, interview za New Africa Hotel na DSM Sheraton Hotel datas zote candidates walizipata pale, generation ile ilipendana na ubinafsi haukuwepo, hivyo hivyo kwa bankers, wanasheria etc etc,na elewa kijiwe kile our own deputy PM amekaa sana kijiwe kile, kijiwe chake kilikua chini ya ule mti uliokaribu na maungio yanayo face kanisa la Lutheran
Safi sana.
 
Nina shamba tukuyu nimetangaza nahitaji kijana wa kusimamia shamba, mwezi wa tatu sasa sipati, mshahara laki 2. Vijana wa sasa wengi wao wavivu.
Nipe number PM vijana wengi wananiulizia kazi niwape namba yako na wengine wapo huko huko Mbeya...
 
Hakuna connection ambayo mtu ananyimwa. Kila ikitokea mtu anapata.

Waiayi unasubiri connection kutoka kwa watu ambao wako connected na wewe anza kufanya chochote. Hapa kuna mtu wangu wa karibu aliuza juice, karanga tena anatembeza mtaani, kalima mchicha na matembere hafi siku anapata connection ya kazi ya ualimu ndio wakina mama mtaani wakajua ni msomi wa chuo.

Dunia iko kazi, inatakiwa uanze kutambaa wakayi unasubiri kutembea au kukimbia.
Huyo alitoka 3 kwenda 1.in short hakuwa na malengo ya kufika mbali.
 
Vuguvugu la maendeleo ulaya (the age of enlignment) lilianzia vijiweni na kwenye saloon ambapo watu walikutana kujadili ideas. Kwenye vijiwe vya kimasonic (Masonic Clubs ) pia ilikuwa ninsehemu walipokutana kupeana updates.

Muachane na vijiwe vya betting.

Vijiwe wa unywaji bia, na ulaji wa vichocheo vya kansa, visukari na ufu.

Vijiwe vya kuchochea ukimwi, gono, UTI na kuhamasishana uzinzi kinyume na maumbile.

Muanzishe clubs za kubadilishana ideas.

Huku mkila matunda, korosho na vyakula vya maana (brain activators) akili ziwe njema. Vyakula vinavyoongeza resilience (uwezo wa kuanzs tena hata ukianguka)

Ni hayo tu.

Mbarikiwe
Najazia jazia nyama hapo kwenye Age of enlightenment 🤓🤓

Rafik yangu wa udogoni udogoni nilikutana nae way back katika kubadilishana mawazo akasema...............

Dr am 4 real PhD kama hujawai kutumia kilevi chochote tangu umezaliwa basi wewe haujawai kuishi......

Nilijuaga tangu yupo primary school alikua anapigaga msuba ki smart
 
Vuguvugu la maendeleo ulaya (the age of enlignment) lilianzia vijiweni na kwenye saloon ambapo watu walikutana kujadili ideas. Kwenye vijiwe vya kimasonic (Masonic Clubs ) pia ilikuwa ninsehemu walipokutana kupeana updates.

Muachane na vijiwe vya betting.

Vijiwe wa unywaji bia, na ulaji wa vichocheo vya kansa, visukari na ufu.

Vijiwe vya kuchochea ukimwi, gono, UTI na kuhamasishana uzinzi kinyume na maumbile.

Muanzishe clubs za kubadilishana ideas.

Huku mkila matunda, korosho na vyakula vya maana (brain activators) akili ziwe njema. Vyakula vinavyoongeza resilience (uwezo wa kuanzs tena hata ukianguka)

Ni hayo tu.

Mbarikiwe
Uzi bado haijakaa vizuri enway umesomeka subiri waendelee
 
Upo kweli mkuu kuhusu vijiwe hivi, hii middle class ya sasa ya dot.com ni wanalalama tu,actions ni zero, ukitembelea jiji la Dar, Ile bustani iliyo mbele ya jengo la Posta ya zamani kilikua kijiwe muhimu mno kipindi hicho, kila sector walikusanyika pale na kupeana mikakati ya maisha, sio ulevi na ngono, interview za New Africa Hotel na DSM Sheraton Hotel datas zote candidates walizipata pale, generation ile ilipendana na ubinafsi haukuwepo, hivyo hivyo kwa bankers, wanasheria etc etc,na elewa kijiwe kile our own deputy PM amekaa sana kijiwe kile, kijiwe chake kilikua chini ya ule mti uliokaribu na maungio yanayo face kanisa la Lutheran
Nakijuwa sana

Hicho kijiwe hata kishanipa 1,2,3

Ova
 
Vijiwe sahv vijana watoto wanakaa kubishana mipira ,sjui mondi kiba konde zuchu
Udaku kuanZia asubuhi mpaka jioni ligi tu

Ova
 
Back
Top Bottom