matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kule ni vijiwe waliowekewa na matajiri ili kuwavuna. Hatupaswi kuishi kwa kutegemea bahati nasibu tuishi kwa mipango. Betting ni matokeo ya umasikiniVijiwe vya kubet haviwatoshi?
Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee.Sawa broo, maana ata connection hamtupi.
Mabroo wengi roho mbaya, wanataka kila mmoja apitie machungu aliyoyapitia yeye mpaka kufanikiwa. Sasa umuhimu wa wao kutangulia mbele upo wapi?Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Umeongea ukweli. Kuna watu sijui shida ni nini. Kwenye kulaumu wengine dah wapo vema ila sasa sio kwenye kuchukua hatua aisee.Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Wengine ndugu kabisa, wamezaliwa na baba zetu. Afrika laana tupuNa wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Hakuna connection ambayo mtu ananyimwa. Kila ikitokea mtu anapata.Sawa broo, maana ata connection hamtupi.
Hahaha hii sio weed aka innocent plant 😁😁Brain activators😁
View attachment 2835327
Vijana wachangamshe akiliHahaha hii sio weed aka innocent plant 😁😁
Roho ya koroshoWengine ndugu kabisa, wamezaliwa na baba zetu. Afrika laana tupu
Hata Mungu kuumba dunia alianza kwa maneno (idea).Mambo hayawezi kuwa mepesi kwa kukaa vijiweni na kupiga porojo tu,
Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Umeongea ukweli. Kuna watu sijui shida ni nini. Kwenye kulaumu wengine dah wapo vema ila sasa sio kwenye kuchukua hatua aisee.
Vijana wenyewe ukiwapa ushauri wanatoa kauli za kukata tamaa.Sawa broo, maana ata connection hamtupi.
Na wengine wapo sehemu ambayo kumvuta mtu yeyote hata mmoja tu anaweza ila yupo radhi hiyo nafasi ipotee tu baadae aje kuandika humu vijana wa miaka ya 2000 kuja juu wavivu sana...pana mtu hataki kazi ?tusiwasimange vijana tuwape connection Wazee Wazee...
Umeongea ukweli. Kuna watu sijui shida ni nini. Kwenye kulaumu wengine dah wapo vema ila sasa sio kwenye kuchukua hatua aisee.
Vijana wenyewe ukiwapa ushauri wanatoa kauli za kukata tamaa.Sawa broo, maana ata connection hamtupi.